Kijakazi
JF-Expert Member
- Jun 26, 2007
- 6,452
- 9,022
Kwan cdm ndo walikuwa wameshika hizo ngome?mbna unabadilisha topic wakati ccm ndo wanatakiwa wakae mkao wa kula kuondoka madarakani 2015
Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
Hakuna wa kuiondoa CCM madarakani labda Marekani na NATO waweke NO Fly Zone, vinginevyo hakuna mwenye hiyo jeuri, Raisi wa Tanzania ni Raisi mpaka hapo Raisi mwingine anapoapishwa, Katiba yetu inasema hivyo!