assadsyria3
JF-Expert Member
- Apr 9, 2013
- 6,904
- 4,050
- Thread starter
- #41
ukishiwa mawazo bwanaNaamini kama kungekuwepo na option ya kufuta tread zisizo na vichwa basi ningeanza na hii
ukishiwa mawazo bwanaNaamini kama kungekuwepo na option ya kufuta tread zisizo na vichwa basi ningeanza na hii
ccm kata 16 kati ya 20Wewe huoni aibu yaani kuna kata mmenyang'anywa bd unajisifu? Chama cha umri wa miaka 50
Yaani na hii nayo ni thread?unaleta vipi hoja kama hii bila kuwa na data zenye analysis ya kutosha..mfano:
1.idadi ya viti kwa vyama viwili ukionesha asilimia
2.kata ambazo kila chama imepoteza au kuzichukua ambapo awali zilikuwa chama kingine
3.idadi ya kula kwa kipindi kilichopita na sasa,utofauti wake ili kuona uelekeo wa baadae
jaribu kuja na data ila kwa kuwa jf ni shule basi kuwa tayari kujifunza
mpango mzima ccm au sio mkuu.
soma gazeti la mwannchi
Kwa namna ccm ilivyotoa kipigo katika viti vya udiwani katika uchaguzi mdogo uliopita ni dalili kuwa cdm inabidi wajipange zaidi
hacha mapenzi ya njiwa fanya analysis ndo uzungumzeeKwa namna ccm ilivyotoa kipigo katika viti vya udiwani katika uchaguzi mdogo uliopita ni dalili kuwa cdm inabidi wajipange zaidi
take it as a challenge