Kwa kauli ya Zitto, Dr. Tulia hana sifa

Kwa kauli ya Zitto, Dr. Tulia hana sifa

Ni mtazamo na mawazo yake.
Tuli ni nguli wa sheria izo desturi atazinyaka kupitia mkuu wake Ndugai na pia in the course of being an MP.
Sidhani kama izo ddesturi ni dose nzito kuliko PHD aliyokamua na kuidefend.

Huo unguli wake unamlinganisha na nani?
 
Taratibu wataelewa!
Ngoja wale walikulia ndani ya CCM waishe taratibu kitaeleweka tu!
Ninakubaliana na wewe. Jamii ambayo imelishwa kasumba ya itikadi za ujamaa na mfumo wa chama kimoja kwa takribani miongo mitatu, inachukua zaidi ya miongo hiyo hiyo kuondokana na hiyo kasumba. Uchaguzi huu umeonesha kuwa taratibu wananchi wanaanza kubadilika. Milioni 8 vs milioni 6 za urais (na hapo hatuna uhakika kama namba hazikuchezewa) ni ushahidi kuntu wa kwamba mabadiliko yako njiani japokuwa kwa kasi ya konokono! la muhimu, wahamasishaji, wanaharakati, wanasiasa wa upinzani wasikate tamaa wala kupunguza kasi.
 
Nimefurahi kujua zitto yupo. Otherwise, hakuna jipya amechoka kiakili. Tunataka atoe hoja ya kisheria na siyo tulivyozoea.
 
Kwa akili wanazotumia wale jamaa laiti kama wangeziwekeza kwenye maendeleo basi tungekuwa kama Dubai leo hii.
 
Safari hili bunge nahisi watu watapigana makonde. Maana ukianzia kwa spika ni kijani tena kibichi sasa ukichanganya na kijani kilichonyauka sipati picha itakuwa nikutetea maslahi. Sijui km katiba mpya itapazikana tena maana kwa hawa viongozi walo teuliwa sioni dalili yoyote.
 
Kwa bahati mby cna imani na zzk kwa sabb md wowote anaweza kugeuka
 
Kikwete ameshanogewa na ufalme. Anataka atawale milelel kama kijitoto cha yule mwanamke aliyekuwa anakaa naye magogoni kiitwacho Halfani kilivyotangaza.

Kazi kwenu mkishangaa. Na pia amewachaguliwa wabunge na raisi hamjamfanya kitu. Sasa kinabaki nini tena wkati yeye ndiye tanzania? Na familia yake ndiyo dola? Na wametangaza kutawala milele? mnataka wasemeje ili muelewe?

. Nikweli mkuu mana yanaonekana tu.....watotobwa wakubwa na nduguzao ndo wamejazana bungeni......ila alichotutenda mbowe kuuza chama kwa kauli ya kuchange gia angani matokeo yake ndo haya......upinzani tanzania bado haujazaliwa lasimi.
 
Safari hili bunge nahisi watu watapigana makonde. Maana ukianzia kwa spika ni kijani tena kibichi sasa ukichanganya na kijani kilichonyauka sipati picha itakuwa nikutetea maslahi. Sijui km katiba mpya itapazikana tena maana kwa hawa viongozi walo teuliwa sioni dalili yoyote.
Tanzania ya sasa ukifanya ubabe wako sehemu yoyote hakikisha hata ukienda chooni upelekwe na gari la washa washa na usijisahau ukajumuika sehemu za wala minofu ya mafuta na beer maana watu hawata taka kupoteza nafasi. Ukipewa uongozi kwasasa jua wananchi wapo nyuma yako wakitaka kuona ni kipi utawafanyia kwa maendeleo.
 
. Nikweli mkuu mana yanaonekana tu.....watotobwa wakubwa na nduguzao ndo wamejazana bungeni......ila alichotutenda mbowe kuuza chama kwa kauli ya kuchange gia angani matokeo yake ndo haya......upinzani tanzania bado haujazaliwa lasimi.

Wewe ni NYUMBU wa CCMscrow
 
Wananchi wanaelewa basi...yaani wamekaririshwa na kuaminishwa kuwa bila CCM aloiacha Nyerere hakuna Maisha.wanasahau kuwa CCM ya Nyerere ni tofauti na CCM hii iliyojaa matusi na wahuni wanaotaka kuiba rasilimali zetu na kuwapa ngozi nyeupe.ngoja rasilimali zikishaisha ndo wataelewa kuwa wapo na zimwi mla uchumi

Ghalib
 
Ni watu wenye akili peke yao wataielewa point ya Zitto, wale Nyumbu wa Lumumba kamwe hawataelewa Zitto anamaanisha nini

Ili bunge liwe huru ni lazima liwe huru kuisimamia serikali, na huyu Magufuli sasa amekuja na gia zilezile za JK za kutaka kuwa na bonge la ndiyo mzee. Kwa dalili hizi nazoziona kazi aliyotudanganya Magufuli itakuwa inafanyikia chumbani tu. Ili ulete maendeleo lazima uwe na bunge huru na imara kukukosoa na kukusimamia
 
Back
Top Bottom