Huyu mchawi naye hana jipya mtu ambaye kila kitu lazima aende kwanza kwa waganga wa jadi pole yake.
kiujumla kuna hatari ya bunge hili kung'olewa meno yake na serikali...
Kwanza hata Dr.Tulia azipogombea hayo Meno hiyo Bunge liyatoe wapi?.
Acheni wafu wazikane wenyewe!
UKAWA tulieneni waacheni na Bunge lao la Lumumba-yale mliyoyaanzisha 2010 bado hayajapata ufumbuzi komaeni na mikakati ya kuonyesha madudu tu-pale pakupitisha mambo waachieni wapitishe kama walivyofanya KATIBA MPYA!
Wabunge wengi wa UKAWA kwa Uwingi wenu msisahau kuwafanyia mirejesho kwa UMMA kila baada ya Vikao vya Bunge-rudini majimbo kwenu itisheni Mikutano ya hadhara.
Wananchi wanaelewa basi...yaani wamekaririshwa na kuaminishwa kuwa bila CCM aloiacha Nyerere hakuna Maisha.wanasahau kuwa CCM ya Nyerere ni tofauti na CCM hii iliyojaa matusi na wahuni wanaotaka kuiba rasilimali zetu na kuwapa ngozi nyeupe.ngoja rasilimali zikishaisha ndo wataelewa kuwa wapo na zimwi mla uchumi
Taratibu wataelewa!
Ngoja wale walikulia ndani ya CCM waishe taratibu kitaeleweka tu!