Huyo Zitto msaliti.
true say
Hana sifa kwa mujibu wa kifungu gani? au Zitto naye ni kama Jecha?
Alikusaliti?
Ni mtazamo na mawazo yake.
Tuli ni nguli wa sheria izo desturi atazinyaka kupitia mkuu wake Ndugai na pia in the course of being an MP.
Sidhani kama izo ddesturi ni dose nzito kuliko PHD aliyokamua na kuidefend.
Je kuna mbadala wa ccm?Wananchi wanaelewa basi...yaani wamekaririshwa na kuaminishwa kuwa bila CCM aloiacha Nyerere hakuna Maisha.wanasahau kuwa CCM ya Nyerere ni tofauti na CCM hii iliyojaa matusi na wahuni wanaotaka kuiba rasilimali zetu na kuwapa ngozi nyeupe.ngoja rasilimali zikishaisha ndo wataelewa kuwa wapo na zimwi mla uchumi
Hebu nikumbusheni huyu DR Tulia amefanya nini tena karibuni kustahili hii fadhila anayolipwa?