Avanti
JF-Expert Member
- Aug 24, 2010
- 1,209
- 239
Nimesikia sikia kuwa eti ubunge sasa utahitaji mtu mwenye shahada, ikiwa hivyo nadhani mbunge wangu Mnyika na wengi wa chama nishabikiacho, bila kuwa mwanachama, wanaweza poteza ubunge.
Kumbe sio ubunge! Ok so uwaziri kwake ni ndoto eti! Sasa sijui itakuwaje na inasemekana kila mkoa utakuwa na mbunge mmoja!
Kumbe sio ubunge! Ok so uwaziri kwake ni ndoto eti! Sasa sijui itakuwaje na inasemekana kila mkoa utakuwa na mbunge mmoja!