acha habari za kusikia unamzungumzia mnyika mwenye rekodi ya mwanafunzi bora tanzania unamwacha lusinde wa mtera na lameck airo wa rorya ambao ni madarasa saba!nimesikia sikia kuwa eti ubunge sasa utahitaji mtu mwenye shahada, ikiwa hivyo nadhani mbunge wangu mnyika na wengi wa chama nishabikiacho, bila kuwa mwanachama, wanaweza poteza ubunge.
Kumbe sio ubunge! Ok so uwaziri kwake ni ndoto eti! Sasa sijui itakuwaje na inasemekana kila mkoa utakuwa na mbunge mmoja!
wengi watapoteza nyadhifa,Nimesikia sikia kuwa eti ubunge sasa utahitaji mtu mwenye shahada, ikiwa hivyo nadhani mbunge wangu Mnyika na wengi wa chama nishabikiacho, bila kuwa mwanachama, wanaweza poteza ubunge.
Kumbe sio ubunge! Ok so uwaziri kwake ni ndoto eti! Sasa sijui itakuwaje na inasemekana kila mkoa utakuwa na mbunge mmoja!
Nimesikia sikia kuwa eti ubunge sasa utahitaji mtu mwenye shahada, ikiwa hivyo nadhani mbunge wangu Mnyika na wengi wa chama nishabikiacho, bila kuwa mwanachama, wanaweza poteza ubunge.
Kumbe sio ubunge! Ok so uwaziri kwake ni ndoto eti! Sasa sijui itakuwaje na inasemekana kila mkoa utakuwa na mbunge mmoja!
acha habari za kusikia unamzungumzia mnyika mwenye rekodi ya mwanafunzi bora tanzania unamwacha lusinde wa mtera na lameck airo wa rorya ambao ni madarasa saba!
Mnyika hana kichwa cha shule, ndio maana alikimbia chuo, tafsiri yake ni kwamba Mnyika ni KILAZA na Ubungo hatutaki mbunge KILAZA, kwahiyo hata kama RASIMU isingekuwepo, Mnyika bungeni asahau.
Div I-7
Phy A, Chem A, Biol A, Civ A, Engl A, Geog A, Hist A, b/Math A, Kisw A, B/know A
IPI TAFSIRI KAMILI YA NENO KILAZA KWA MTU MWENYE MATOKEO KAMA HAYO