Kwa kashfa za Ndugu Polepole, Kikwete ameshakosa uhalali wa kushauri Taifa?

Kwa kashfa za Ndugu Polepole, Kikwete ameshakosa uhalali wa kushauri Taifa?

Kwa kauli ya Ndugu Polepole,kwamba Kikwete ni mmoja wa kundi la wana mtandao wanaokwamisha Taifa na Chama Cha Mapinduzi,je Kikwete anao uhalali tena wa kushauri Taifa? Au wenye uhalali abakie Mzee Warioba na Mzee Butiku!?
Tulifanya kosa kubwa sana kama Taifa kumpa urais Kiwete. hizi ndiyo tabia halisi za watu wa pwani - ndumila kuwili.
 
JK siyo mwanamtandao
Ndiye mwenye(mwanzilishi mwenza) wa mtandao?HPolepole haneni Uongozi maana hana Cha kupoteza(Kawaida ya Wana CCM wanapotoka).
CCM ni Wezi wa Kura,tena hawajifichi kwa sababu wamejiunganisha na Tume,NIDA na vyombo vya Umma kwa manufaaa yao na Uroho wa madaraka.
No Reforms No Elections haizuiliki na hakuna njia tofauti kama Watanzania watakuwa wakweli at least for once.No more lies,we are perishing?
 
Kwa kauli ya Ndugu Polepole,kwamba Kikwete ni mmoja wa kundi la wana mtandao wanaokwamisha Taifa na Chama Cha Mapinduzi,je Kikwete anao uhalali tena wa kushauri Taifa? Au wenye uhalali abakie Mzee Warioba na Mzee Butiku!?
Statement yako inakosa mashiko hapo kwenye Bold unaongelea Kauli za Polepole na Sio Ukweli / Uhalisia kwa kinachosemwa...; Kwahio JK atakosa uhalali kwa sababu ya uhalisia wa kinachosemwa na sio Kauli za yoyote yule...

Ndio maana naona hizi Kauli ni muendelezo wa Siasa sababu kuna majambazi wengine wa sasa badala ya kuwasema leo tutagonjea mpaka hapo kesho au when it is convenient kwa msemaji (thus maneno ya wasemaji kupungua uzito)

NB: Ushauri upimwe kwa kinachoshauriwa na sio nani anashauri
 
Kwa kauli ya Ndugu Polepole,kwamba Kikwete ni mmoja wa kundi la wana mtandao wanaokwamisha Taifa na Chama Cha Mapinduzi,je Kikwete anao uhalali tena wa kushauri Taifa? Au wenye uhalali abakie Mzee Warioba na Mzee Butiku!?
Polepole na wasenge wenzie wanajua kabisa bila Kikwete wangemuyumbisha Mwenyekiti kwahiyo wanatamani wawagombanishe kwanza halafu waanze kuharibu mambo.
Nani aliyeko hai leo anakijua chama kuliko Jakaya Mrisho Kikwete
 
Kwa kauli ya Ndugu Polepole,kwamba Kikwete ni mmoja wa kundi la wana mtandao wanaokwamisha Taifa na Chama Cha Mapinduzi,je Kikwete anao uhalali tena wa kushauri Taifa? Au wenye uhalali abakie Mzee Warioba na Mzee Butiku!?
Ilimradi genge la wahuni baso linaongoza hii nchi, Hamna namna tutamkwepa huyu Mzee
 
Back
Top Bottom