masopakyindi
Platinum Member
- Jul 5, 2011
- 18,643
- 14,642
Kwa uteuzi, matamshi na hasa kama kuwaumbua viongozi wakuu nchini, Makonda anaenda kukisambaratisha chama CCM.
Kwa sasa Makonda kampa Waziri Mkuu miezi sita kutekeleza majukumu yake.
Kiprotokali Makonda ni mdogo sana, hawezi kumwamrisha Waziri Mkuu.
Waziri Mkuu anasimamiwa na Mama Samia kama Mwenyekiti wa CCM na kama Rsis wa nchi.
Na hata ndani ya chama, kuna vikao mahsusi ya kuzungumzia utendaji wa serikali, vikao hivyo havijatumika.
Sasa, aidha Makonda katumwa na Mama Samia, au ni kiherehere chake tu.
Lakini kwa vyovyote kutakuwa na consequences.
Wanaokuwa lambasted hadharani sitegemei kuwa watakaa kimya.
Chama kinaenda kusambaratika na 2025 si mbali.
Kwa sasa Makonda kampa Waziri Mkuu miezi sita kutekeleza majukumu yake.
Kiprotokali Makonda ni mdogo sana, hawezi kumwamrisha Waziri Mkuu.
Waziri Mkuu anasimamiwa na Mama Samia kama Mwenyekiti wa CCM na kama Rsis wa nchi.
Na hata ndani ya chama, kuna vikao mahsusi ya kuzungumzia utendaji wa serikali, vikao hivyo havijatumika.
Sasa, aidha Makonda katumwa na Mama Samia, au ni kiherehere chake tu.
Lakini kwa vyovyote kutakuwa na consequences.
Wanaokuwa lambasted hadharani sitegemei kuwa watakaa kimya.
Chama kinaenda kusambaratika na 2025 si mbali.