mwekundu
JF-Expert Member
- Mar 4, 2013
- 21,859
- 19,700
Hahahahahahahahahahaha ndio maana Heaven on earth kakutolea nje kumbe alijua banaaa bora wewe umesema ukweli
aah.ila kwako wewe naweza
Hahahahahahahahahahaha ndio maana Heaven on earth kakutolea nje kumbe alijua banaaa bora wewe umesema ukweli
Kwahiyo wewe unapenda kwa sababu ya mbunye basi mapenzi kando!kiukweli ni ngumu tena kwa hawa wanaume wa kibongo duh ni kazi!
Umenichekesha hadi basi!!Bora umekuwa muwazi!kwakweli kabisa roho nyeupe................SIWEZI TOA(am sorry uliyepaona hapa)
Jamani mbona ni uzi wa kawaida hausiani na na kukutwa maswahibu??Umeamua kufunguka best vipi umepitiwa au yamekusibu nini tena jamani?
Mimi kama ni mpenzi wangu natoa hasa roho figo naweza pata mahali popote!Mhm! Wewe una hamu ya kusaidia msaidie bhana si ni rafikiyo wa moyoni kila heri ila kuwa makini maana huwaga hawatabiriki
Duh kazi kweli kweli hata ndoa nimeamini ni za mihuri na vyeti mapenzi hakuna!Hayo mapenzi hamna siku hizi..yalikuwepo enzi ya gazeti la sani
aah.ila kwako wewe naweza
Mwekundu unaniua na cheko mie ushasema huwezi,hata pesa ya kununua figo kutoa huwezi!!!!au
bora hiyo figo kama inawezekana ukampe mbwa wako
Mmmmmh hii figo yng ni bi mkubwa ndo atapewa wengine waniwie radhi....!
jaribu uone we una uhakika gani kama atakuwa wako bado unajua ukitoa figo inabidi na kazi usifanye labda zile nyepesi utalia machozi ya damu hawatabiriki hao
Hapo umenena chief,mapenzi yenyewe haya ya tamthilia na kichina,,,!!!!!?? Huyo mwnamke anisahau...teh teh teh teh
mpeleke bangladesh ni pm kuna hospal wana figo kabisa.sio lazima utolewe figo
kwakweli kabisa roho nyeupe................SIWEZI TOA(am sorry uliyepaona hapa)
Kwani hawapo ndugu zake mpaka utoe wewe,???
Mim kwa mtu nilienae kwa mambo aliyonifanyia kanitoa mbali mpaka leo nipo nae ni kama baba yangu aisee maana kamzidi baba yangu kwa kunijali
Naweza kumtoleaa kabisa hata kama akinisaliti maana nakua kama nimelipa fadhila
Lakin hawa wa kukutana kimjini mjini siwez kama ndugu zake hawana figo afe tu bwanaa
Mabinti wa sasa.....subutuuu
mm wananishangaza sana binadamu hasa wanadamu wanaoijiita WANAUME yaani wao
wanapenda kuwa na mtu wakati wa raha lakini wakati wa shida hawana habari nao
tena wengine wanawaterekeza kabisa eti kwa kuwa yu mgonjwa yaani
sijui hawa binadamu WANAUME wakoje wana tabia mbaya isiyoneneka kabisa
bora hiyo figo kama inawezekana ukampe mbwa wako
Movie ya kanumba LOVE n POWER ilinifundisha kitu.....mtu akiwa na shida utamuonea huruma sana sasa subiri tatizo lake liishe ndo utaipata fresh.
Figo yangu ni kwa mama yangu na watoto wangu