Mhadzabe
JF-Expert Member
- May 20, 2009
- 3,226
- 4,730
ThibitishaNdilo jawabu...
ThibitishaNdilo jawabu...
Wahadzabe hawafananishwi na wagogo... mhadzabe akianza tabia za kigogo inatia mashaka sana...Thibitisha
Ni upuuzi wa kiwango cha unayemuhusudu maishani mwako, kujenga hoja kwa kunasibishwa na kabila la mtu, hasa hoja za kimantiki!Wahadzabe hawafananishwi na wagogo... mhadzabe akianza tabia za kigogo inatia mashaka sana...
Jiongeze si kila kitu utafuniwe...
Umeshaonwa na wakubwaNi upuuzi wa kiwango cha unayemuhusudu maishani mwako, kujenga hoja kwa kunasibishwa na kabila la mtu, hasa hoja za kimantiki!
Mie mwenyewe mkubwa. Sema nikuone?Umeshaonwa na wakubwa
Ndio mkuuSawa mkuu.
Karismatic fella au siyo?Huu uandishi ni Kama wa anaejiita pure talented
Karismatic fella au siyo?
Umetumia microscope gani kung'amua hilo mkuu maana huo utaalamu natamani ningekua nao ili niwe nawatambua watu flani wenye "vitambulisho" zaidi ya kimoja?Ndio mkuu
Umetumia microscope gani kung'amua hilo mkuu maana huo utaalamu natamani ningekua nao ili niwe nawatambua watu flani wenye "vitambulisho" zaidi ya kimoja?
Si na wakenya tu,hata wabongo wenziye katuudhi sana.Mtu mwenyewe "yupo yupo" tu na misifa yake unategemea timu ifanikiwe???!!!! Eti "mungu" wa dar es salaam! Haya sasa na uungu wake.Ndani ya Dakika 55 tokea Filimbi ya mwisho ipulizwe na Kumalizika kwa Mtanange kati ya Harambee Stars ya Kenya na Taifa Stars ya Tanzania ambapo Tanzania ( Taifa Stars ) tumefungwa kama kuna Kiongozi wa Tanzania ambaye sasa anatukanwa, kudhihakiwa na kukashifiwa katika Mitandao ya Wakenya hadi anatia huruma basi ni Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Ndugu Paul Makonda.
Nashauri naomba kuanzia sasa Viongozi hawa wa Siasa nchini Tanzania wasiwe wanahusishwa au wanajiingiza katika Siasa huku wakiwa bado wanazitumikia hizo Nyadhifa zao kwani pale wakiwa wanatukanwa sidhani kama hayo Matusi huwa yanaishia tu Kwao bali huja hadi na kwa Sisi Wananchi wa kawaida tu ambao hatuna hatia yoyote ile.
Makonda Siku zingine uwe unaacha kuwa na Kiherehere, Dharau na Sifa kwa unazidi tu Kuumbuka.
Wakenya watusaidie kumtukana kwa usiku wa leo kesho alfajiri watuachie na mtu wetu tuendelee kumtukana.