GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 56,571
- 108,920
Ndani ya Dakika 55 tokea Filimbi ya mwisho ipulizwe na Kumalizika kwa Mtanange kati ya Harambee Stars ya Kenya na Taifa Stars ya Tanzania ambapo Tanzania ( Taifa Stars ) tumefungwa kama kuna Kiongozi wa Tanzania ambaye sasa anatukanwa, kudhihakiwa na kukashifiwa katika Mitandao ya Wakenya hadi anatia huruma basi ni Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Ndugu Paul Makonda.
Nashauri naomba kuanzia sasa Viongozi hawa wa Siasa nchini Tanzania wasiwe wanahusishwa au wanajiingiza katika Siasa huku wakiwa bado wanazitumikia hizo Nyadhifa zao kwani pale wakiwa wanatukanwa sidhani kama hayo Matusi huwa yanaishia tu Kwao bali huja hadi na kwa Sisi Wananchi wa kawaida tu ambao hatuna hatia yoyote ile.
Makonda Siku zingine uwe unaacha kuwa na Kiherehere, Dharau na Sifa kwa unazidi tu Kuumbuka.
Nashauri naomba kuanzia sasa Viongozi hawa wa Siasa nchini Tanzania wasiwe wanahusishwa au wanajiingiza katika Siasa huku wakiwa bado wanazitumikia hizo Nyadhifa zao kwani pale wakiwa wanatukanwa sidhani kama hayo Matusi huwa yanaishia tu Kwao bali huja hadi na kwa Sisi Wananchi wa kawaida tu ambao hatuna hatia yoyote ile.
Makonda Siku zingine uwe unaacha kuwa na Kiherehere, Dharau na Sifa kwa unazidi tu Kuumbuka.