Kichwamoto
JF-Expert Member
- Jan 21, 2019
- 3,353
- 4,535
Huo ukuma ur no body to be authoritative wewe ni utopolo tuFanya upesi uwahi 'Ukapimwe' Utahaira.
Huo ukuma ur no body to be authoritative wewe ni utopolo tuFanya upesi uwahi 'Ukapimwe' Utahaira.
Naona unauthibitisha tu Utahaira wako.Huo ukuma ur no body to be authoritative wewe ni utopolo tu
Unatala sir buyer ahukumiwe adhabu ya kuliwa mtungo na Inmates wenzake!??mbona haitoshi hiyo!??Hakuna sehemu yoyote duniani ambako mhalifu anahukumiwa kuliwa jicho au macho.
Hahaha hahaha duh kum bakeeHadi mm niende jela yeye atakuwa tayari ameshakuwa bwabwa kwa kuliwa jicho daily!
Bulaya ilibidi akalazweMagereza kuna mahala walitembeza kichapo kiukweli ffu wakasome zaidi jamaa wanapiga sijawahi kuona halafu mtaani tunawachukulia poa, lakini special force yao ni hatari hawa jamaa
Bashiru amekosea nini?Kuna Mtu aliniambia Siku moja kuwa ukitaka ujue Kozi ya Askari Magereza ni ngumu na inakaribia au hata Kufanana na ya Komandoo nitembelee Chuo chao.
Kwa nilivyomuona Ole Sabaya ( hasa kwa Macho yangu ya Udadisi ) nimegundua Askari Magereza wanaomchunga huko waliko wamefanya vyema mno Kazi yao ya 'Kumnyoosha' na naomba idadi yao ili niwatumie Zawadi ya Mbuzi wangu 'Wanono' Watano wachinje na wale.
Sasa bado akina Paul Makonda, Alexander Mnyeti na Albert Chalamila na ikiwapendeza Malaika wa Haki basi hata Dotto James pamoja na Bashiru Ali nao wataungana nao huko mbeleni.
Hongereni sana 'Jeshi la Magereza ' TZ.
Hio watakuwa walilegeza kiburi cha Sabaya ***** hadi anaomba aongezewe karanga😅😅😅Magereza kuna mahala walitembeza kichapo kiukweli ffu wakasome zaidi jamaa wanapiga sijawahi kuona halafu mtaani tunawachukulia poa, lakini special force yao ni hatari hawa jamaa
Ha ha ha!Kuna Mtu aliniambia Siku moja kuwa ukitaka ujue Kozi ya Askari Magereza ni ngumu na inakaribia au hata Kufanana na ya Komandoo nitembelee Chuo chao.
Kwa nilivyomuona Ole Sabaya ( hasa kwa Macho yangu ya Udadisi ) nimegundua Askari Magereza wanaomchunga huko waliko wamefanya vyema mno Kazi yao ya 'Kumnyoosha' na naomba idadi yao ili niwatumie Zawadi ya Mbuzi wangu 'Wanono' Watano wachinje na wale.
Sasa bado akina Paul Makonda, Alexander Mnyeti na Albert Chalamila na ikiwapendeza Malaika wa Haki basi hata Dotto James pamoja na Bashiru Ali nao wataungana nao huko mbeleni.
Hongereni sana 'Jeshi la Magereza ' TZ.
unacheka kama una 'nyg..., mtoto wa kike.Hahaha hahaha duh kum bakee
comedy na kuendana beat la kiongozi wa nchi aliopita mi sionagi kosa lakeHebu nambie makosa ya Bwana Albert Chalamila Kwanza.
Hukumu hutolewa kwa mujibu wa sheria siyo kwa mawazo ya watu mkuu
Done!!!Mara kwa mbali namuona kaka angu Olesabaya,,
Amekamatwa akafungwe akanyeee debe,
afanye nini na hayo yote alitaka mwenyewe,
hata buku7 wakiandamana hawata chukua ushindi,
wakija na mawe mapanga kundi kwa makundi!!!!
Pesa alizopiga bado zinamtafunaa
Genge lake la wahuni nalo latafutwaa
Mashahidi wa matendo yake wote wanamzomea
Alokula nao bata nao wamemkimbiaa
Daaah nlikua najaribu kushusha voko vipi wadau naweza au.
Imba kama WIMBO WA TAIFA WA msaniii KALA JEREMIAH.
Ni dhehebu gani?Aalikuwa hakosi ibada ya asubuhi siku za kazi hata siku moja pale cathederal ya mbeya kama hajasafiri. Pia alikuwa mchangiaji mzuri kanisani zaidi ya MTEUZI wake.