Kwa jinsi Ole Sabaya alivyovimba Macho, kuna Alama Usoni mwake na anajitahidi kuficha Kuchechemea Kwake niwapongeze sana Askari Magereza

Au unaweza kuta nyapara amempa salala za kutosha za mgongo na mabanzi ya usoni baada ya kumnyima morning glory ya ndogo
 
Hakuna kitu Kama tuwazavyo Wana jamii sabaya sio mtungwa bali ni mtuhumiwa bado aijawa tayali amethibitika so izo adhabu ipewe za nini
 
Kuna Mtu aliniambia Siku moja kuwa ukitaka ujue Kozi ya Askari Magereza ni ngumu na inakaribia au hata Kufanana na ya Komandoo nitembelee Chuo chao.

Kwa nilivyomuona Ole Sabaya ( hasa kwa Macho yangu ya Udadisi ) nimegundua Askari Magereza wanaomchunga huko waliko wamefanya vyema mno Kazi yao ya 'Kumnyoosha' na naomba idadi yao ili niwatumie Zawadi ya Mbuzi wangu 'Wanono' Watano wachinje na wale.

Sasa bado akina Paul Makonda, Alexander Mnyeti na Albert Chalamila na ikiwapendeza Malaika wa Haki basi hata Dotto James pamoja na Bashiru Ali nao wataungana nao huko mbeleni.

Hongereni sana 'Jeshi la Magereza ' TZ.
Bashiru amekosea nini?
 
Magereza kuna mahala walitembeza kichapo kiukweli ffu wakasome zaidi jamaa wanapiga sijawahi kuona halafu mtaani tunawachukulia poa, lakini special force yao ni hatari hawa jamaa
Hio watakuwa walilegeza kiburi cha Sabaya ***** hadi anaomba aongezewe karanga😅😅😅
 
Kuna Mtu aliniambia Siku moja kuwa ukitaka ujue Kozi ya Askari Magereza ni ngumu na inakaribia au hata Kufanana na ya Komandoo nitembelee Chuo chao.

Kwa nilivyomuona Ole Sabaya ( hasa kwa Macho yangu ya Udadisi ) nimegundua Askari Magereza wanaomchunga huko waliko wamefanya vyema mno Kazi yao ya 'Kumnyoosha' na naomba idadi yao ili niwatumie Zawadi ya Mbuzi wangu 'Wanono' Watano wachinje na wale.

Sasa bado akina Paul Makonda, Alexander Mnyeti na Albert Chalamila na ikiwapendeza Malaika wa Haki basi hata Dotto James pamoja na Bashiru Ali nao wataungana nao huko mbeleni.

Hongereni sana 'Jeshi la Magereza ' TZ.
Ha ha ha!
 
Hukumu hutolewa kwa mujibu wa sheria siyo kwa mawazo ya watu mkuu
Screenshot_20210619-231324_Chrome.jpg


Armed robbery ni miaka 30 kama wakiwa convicted
 
Kule kuna kitengo kinaitwa KM hao jamaa wanabalaa
Fikiria mtu anafundishwa kumdhibiti komando aliyehasi
 
Mara kwa mbali namuona kaka angu Olesabaya,,
Amekamatwa akafungwe akanyeee debe,
afanye nini na hayo yote alitaka mwenyewe,
hata buku7 wakiandamana hawata chukua ushindi,
wakija na mawe mapanga kundi kwa makundi!!!!
Pesa alizopiga bado zinamtafunaa
Genge lake la wahuni nalo latafutwaa
Mashahidi wa matendo yake wote wanamzomea
Alokula nao bata nao wamemkimbiaa



Daaah nlikua najaribu kushusha voko vipi wadau naweza au.

Imba kama WIMBO WA TAIFA WA msaniii KALA JEREMIAH.
Done!!!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
We genta hueleweki wewe!!ulikua unamsifij jpm kua ni kiongozi Bora leo una wananga vijana wake????Aiseh! Ni vigum kumjua shetani wa kweli!!
 
Back
Top Bottom