Kwa Hotuba ya Kagera, ni bora angekaa kimya

Hata mm nimeickiliza yote..huwezi ukatoa conclusion kuwa hotuba ilikuwa mbovu kwa kudokoa vistatement vichache vichache ndani ya hotuba ile..mtoa mada ana lake jambo
Mwambie.. Tuna akili timamu (siyo wote).., tunajua kuhoji maswali ambayo hawezi kuwa na majibu nayo.., wasihamishe magoli..,

atueleze sasa.., zile pesa za wahisani, wadau, wananchi wa kawaida kwenda kwenye ile akaitishe ya Maafa kwa ajili ya wahanga wa tetemeko kule Kagera, zinatakiwa kuwafikia lini walengwa..,

(maana serikali yenu hii sikivu imeanza sasa kuhamisha magoli 'kubadilisha maana yetu sisi wapiga kelele'.., na kusema haina pesa za kuwajengea wananchi wale makazi yao)..,

sawa.., serikali haina pesa.. Lakini sisi (watanzania) tunahoji michango ya wananchi, wahisani, watanzania zitawafikia/itawafikia lini walengwa (wananchi)..,

siyo pesa za serikali kuu kutoka hazina.., hapana.., hatuna shida na pesa za serikali.., tunauliza zile pesa kutoka Japan, Marekani, Uingereza, Canada, Kenya, Uganda, na mashirika, taasisi na Michango ya wananchi (siyo pesa za hazina)..,
 
Hata mm nimeickiliza yote..huwezi ukatoa conclusion kuwa hotuba ilikuwa mbovu kwa kudokoa vistatement vichache vichache ndani ya hotuba ile..mtoa mada ana lake jambo
(iv) "asitokee mtu kuwadanganya kwamba serikali itagawa chakula., hauwezi kugawa chakula ardhi ni ya kijani"
maneno hayo tu yanaondoa umuhimu na u maana wa hotuba yake-watu wamepata majanga huwezi ukawaimbia muda huo huo wakalime wapate chakula
 
Kuhusu chakula nadhani hajakosea,kama ardhi ina rutuba
watu walime,ila alitakiwa kuahidi chakula cha muda huu,kuzingatia majani yanaota
mara moja mvua inaponyesha lakini mahindi/mihogo
ili uvune si chini ya miezi mitatu,labda kama majana nayo yanaliwa.

Kuhusu janga la tetemeko,serikali ilitakiwa kutumia michango
ya wahisani na wananchi kutoa walau vifaa kidogo vya ujenzi
afu fedha za serikali(mfuko wa maafa) zijenge miundo mbinu
ya serikali.Sasa mshangao unatushika pale tulipochanga
kusaidia watu walioonyeshwa kwenye TV wakiwa na hali mbaya
leo hii wanaambiwa wasitegemee chochote,hii ni mbaya.

Kilichonifurahisha ni kuwa wanasayansi hawawezi siasa,
wanapiga kama vile wako maabara,maabara kama unapima
damu yenye ukimwi ,vyombo vinakupa majibu yenye ukimwi
kama damu ni salama majibu yanakuwa salama.
 
.
Mimi siyashangai maneno haya. Mara zote ninapokuwa nasimamia dissertations za wanafunzi wangu, sura ya tatu (methodology) hutugombanisha. Huwa namwuliza kila mwanafunzi: What is your research philosophy? Wengi wanakuwa hawajui. Inabidi kuwaongoza taratibu.

Kimsingi kuna research philosophies mbili: Realism / Postitivism Vs Phenomenology / Constructionism. Hao wa kwanza wanasema koleo ni koleo, sio kijiko. Yaani, ukweli unagunduliwa, hauchongwi na msemaji. Hawa wa pili wanasema koleo inaweza kuitwa kijiko bila tatizo kubwa. Yaani, ukweli unaweza kuchongwa, 2+2 ikawa tano, kwa sababu kura zilizopigwa zinasema hivyo!

Tangu tupate uhuru tulikuwa na marais wanafenomena. Sasa kwa mara ya kwanza tunaye rais mwanasayansi. Tuukubali ukweli huo. He is a positivist, fulstop. Hivyo, tunapojadili kauli zake tuzijadili tukiwa tumevaa miwani ya positivism. Tutamwelewa, hata kama hatukubaliani naye.
Asante mhadhiri kwa darasa. Kuna vitu nimejifunza hapa. Ngoja niishie hapa kwa sasa.
 
Rais Magufuli hana mzaha na mtu yoyote asiyetimiza malengo ya Serikali na kwenda kinyume na kinachopangwa.

Watanzania tunapenda sana kumjaribu mtu take care siyo Magufuli.

Tufanye kazi kujenga nchi yetu tupate Maendeleo
 
Ninachompendea Rais wangu huyo Dr Magufuli ni kwamba anasema ukweli, iwe tamu ama chungu, yeye atasema tu kama ilivyo. Sasa watu wengine mnapenda mdanganywe, aje aseme tutawajengea nyumba, halafu mtakaaa weee kusubiri hizo nyumba wala hazitajengwa.. bola huyu anasema ukweli ili ujipange kabisa
ukweli uko wapi hapo, yale maghala ya hifadhi ya Taifa yamestock mawe?
 
Kuhusu chakula nadhani hajakosea,kama ardhi ina rutuba
watu walime,ila alitakiwa kuahidi chakula cha muda huu,kuzingatia majani yanaota
mara moja mvua inaponyesha lakini mahindi/mihogo
ili uvune si chini ya miezi mitatu,labda kama majana nayo yanaliwa.

Kuhusu janga la tetemeko,serikali ilitakiwa kutumia michango
ya wahisani na wananchi kutoa walau vifaa kidogo vya ujenzi
afu fedha za serikali(mfuko wa maafa) zijenge miundo mbinu
ya serikali.Sasa mshangao unatushika pale tulipochanga
kusaidia watu walioonyeshwa kwenye TV wakiwa na hali mbaya
leo hii wanaambiwa wasitegemee chochote,hii ni mbaya.

Kilichonifurahisha ni kuwa wanasayansi hawawezi siasa,
wanapiga kama vile wako maabara,maabara kama unapima
damu yenye ukimwi ,vyombo vinakupa majibu yenye ukimwi
kama damu ni salama majibu yanakuwa salama.
Well said
 
(i) "Waambie hao wanasiasa wawajengee hizo nyumba zenu wenyewe.. "

(ii) "kwa hiyo kila mmoja katika upande wake abebe msalaba wake mwenyewe..,"

(iii) "jukumu la serikali ni kurejesha miundombinu ya serikali, siyo kujenga nyumba za wananchi"

(iv) "asitokee mtu kuwadanganya kwamba serikali itagawa chakula., hauwezi kugawa chakula ardhi ni ya kijani"

(v) "sasa mkuu wa wilaya nataka nikueleze hapa.., sitaleta chakula hapa, hakuna chakula cha serikali, serikali haina shamba "

(vi) " nimekuja kuwapa ujumbe huu, na mwenye kusikia asikie"

>>>> Hayo ni ya maneno ya 'FARAJA' kutoka kwa Rais John Pombe Magufuli akiwa Kagera leo.., una maoni yapi katika kauli hizo za Rais wa watanzania wakiwepo wale wahanga qa tetemeko kule Kagera!!?

Binafsi; sina deni hata chembe.., hii dhambi haiwezi kunitafuna (ya kuichagua CCM).., siyo mmoja kati ya wale ambao walichagua CCM.., siyo mmoja wapo kabisa!
MH JPM amewambia watu ukweli, wewe ulitaka awadanganye? Hata km hukukichagua chama tawala lkn ndiyo kinachotawala na hadi unatawaliwa nacho.Kama unadhani wewe genius sana kuliko JPM,gombea 2020 uchukue nchi tukuone.
 
Mwambie.. Tuna akili timamu (siyo wote).., tunajua kuhoji maswali ambayo hawezi kuwa na majibu nayo.., wasihamishe magoli..,

atueleze sasa.., zile pesa za wahisani, wadau, wananchi wa kawaida kwenda kwenye ile akaitishe ya Maafa kwa ajili ya wahanga wa tetemeko kule Kagera, zinatakiwa kuwafikia lini walengwa..,

(maana serikali yenu hii sikivu imeanza sasa kuhamisha magoli 'kubadilisha maana yetu sisi wapiga kelele'.., na kusema haina pesa za kuwajengea wananchi wale makazi yao)..,

sawa.., serikali haina pesa.. Lakini sisi (watanzania) tunahoji michango ya wananchi, wahisani, watanzania zitawafikia/itawafikia lini walengwa (wananchi)..,

siyo pesa za serikali kuu kutoka hazina.., hapana.., hatuna shida na pesa za serikali.., tunauliza zile pesa kutoka Japan, Marekani, Uingereza, Canada, Kenya, Uganda, na mashirika, taasisi na Michango ya wananchi (siyo pesa za hazina)..,
Kwani hizo shule na hospital zinazojengwa pamoja na miundombinu zitamnufaisha nani?zitawanufaisha wakazi wa kagera au zitamnufaisha magufuli yeye binafsi???hlf mi nashanga uingeleza wenyewe waliotoa hizo billion 6.4 wala hata hawalalamiki fedha zao kujengewa shule tena badala yake wameamua kuongeza fedha zingne ili ufanyike ujenzi wa shule ya wasichana,wakazi wa bukoba wala hawalalamiki ila nyie macho kuona ndio mnapiga kelele nyingiii.
 
Hata mm nimeickiliza yote..huwezi ukatoa conclusion kuwa hotuba ilikuwa mbovu kwa kudokoa vistatement vichache vichache ndani ya hotuba ile..mtoa mada ana lake jambo
Kama mleta mada kadokoa vikasoro vichache, wewe tupe vizuri vingi au kutaifisha shule ua Omumwani ndo kutawafariji wahanga Wa tetemeko? Nilikuwa siamini kama kuna watu wanalipwa kupinga au kusapoti mada Leo nimeamini. Mtu unasapoti watu waliokumbwa na tetemeko wakapoteza au kuharibiwa Mali zao kikiwemo chakula wasipewe msaada eti wakalime nchi ni ya kijani? Waanze kulima sasa wasubiri yakue wakiwa wanakula nini? Hicho chakula cha akiba kinachonunuliwa na serikali kila mwaka ni kwa ajili ya nini kama siyo matukio kama haya? Kama kasema mazuri tumsifu lkn kwa hili tuseme kateleza.
 
"If you cant help them,at least don't hurt them"
Nimechoka kuvumilia kuwa Mtanzania,baba ule mpango wa Lusaka vipi?
Niko serious now
cc The bold
Seriously.??
Ulikataa lakini, remember??

We goin' have to make new arrangements kama uko serious.!!
Ila mimi bado naipenda Tanzania, Bado nina imani na nchi yetu.. We will get out of this.. Hatupaswi kukata tamaa! Hii ndio nchi yetu, hapa ndipo Mungu alipotupa..

If we go somewhere else, itakuwa kwasababu ya kujijenga kimaisha tu but motive yetu isiwe kuikatia tamaa mchi yetu!!

Natamani tuwarithishe watoto wetu nchi bora kuliko hii! Hivyo sisi wazazi wao hatupaswi kugive up mapema hivi..

Be strong sweetheart.! This will pass..
 
Kama mleta mada kadokoa vikasoro vichache, wewe tupe vizuri vingi au kutaifisha shule ua Omumwani ndo kutawafariji wahanga Wa tetemeko? Nilikuwa siamini kama kuna watu wanalipwa kupinga au kusapoti mada Leo nimeamini. Mtu unasapoti watu waliokumbwa na tetemeko wakapoteza au kuharibiwa Mali zao kikiwemo chakula wasipewe msaada eti wakalime nchi ni ya kijani? Waanze kulima sasa wasubiri yakue wakiwa wanakula nini? Hicho chakula cha akiba kinachonunuliwa na serikali kila mwaka ni kwa ajili ya nini kama siyo matukio kama haya? Kama kasema mazuri tumsifu lkn kwa hili tuseme kateleza.
Mkuu mm cjawahi kulipwa wala kunufaika na lolote kutoka ccm ila penye ukweli ni lazima tuseme ukweli,HV mkuu inamaana swala la kubinafsisha shule kwako kutoka ccm na kuipeleka serikalin kwako unaona ni swala dogo??? HV unajua ni walimu wangapi watapata ajira za kudumu kutoka serikalini?? HV unajua ni wanafunzi wangapi watanufaika na elimu ya bure baada ya kuingizwa ktk mfumo wa serikali??hv unajua kwa kauli ile magufuli ameokoa shilingi ngapi za ada zilizokuwa zinatakiwa kulipwa na wazaz ambao ni watanzania wanyonge wakazi wa bukoba??hebu acheni unyumbu nyie watu hlf siyo lazima ukiwa mpinzani basi ni lazima upinge kila kitu.
 
(i) "Waambie hao wanasiasa wawajengee hizo nyumba zenu wenyewe.. "

(ii) "kwa hiyo kila mmoja katika upande wake abebe msalaba wake mwenyewe..,"

(iii) "jukumu la serikali ni kurejesha miundombinu ya serikali, siyo kujenga nyumba za wananchi"

(iv) "asitokee mtu kuwadanganya kwamba serikali itagawa chakula., hauwezi kugawa chakula ardhi ni ya kijani"

(v) "sasa mkuu wa wilaya nataka nikueleze hapa.., sitaleta chakula hapa, hakuna chakula cha serikali, serikali haina shamba "

(vi) " nimekuja kuwapa ujumbe huu, na mwenye kusikia asikie"

>>>> Hayo ni ya maneno ya 'FARAJA' kutoka kwa Rais John Pombe Magufuli akiwa Kagera leo.., una maoni yapi katika kauli hizo za Rais wa watanzania wakiwepo wale wahanga qa tetemeko kule Kagera!!?

Binafsi; sina deni hata chembe.., hii dhambi haiwezi kunitafuna (ya kuichagua CCM).., siyo mmoja kati ya wale ambao walichagua CCM.., siyo mmoja wapo kabisa!
Ushauri wangu, AONGEZE KIBURI ZAIDI YA NEBKADNEZA WA KWENYE BIBLIA ili aufitini ufalme wa ccm maradufu
 
Back
Top Bottom