Kwa Hotuba ya Kagera, ni bora angekaa kimya

Hadi naandika hayo. Manaake nimezielewa.

Hujajibu nilichokuuliza!!

Hizo theory umezileta kwa nia gani kama siyo kuwa na lengo la kutetea Lumumba?
.
Hoja yangu ni hii:

1. What is truth and how do we come to know it?
2. Either truth is out there waiting for our discovery, or it is constructed via our minds
3. If truth is discovered, then we can easily prove or disprove each other's statements.
4. But, if truth is constructed, it is pointless to refute each other's statements.
5. So, before criticising JPM's statement, we need to establish an epistemological and ontological ground.
6. And since JPM is a positivist, we should criticise his statements from a positivist perspective.
7. Nowhere did I do what you call "kutetea Lumumba."
8. You should learn to read and understand, before responding irresponsibly.
 
Mimi ni miongoni wa watanzania wachache walio mkubali Rais wetu mpendwa huyu.

Huwa nawasha TV kumsikiliza kwa kila anapohutubia, ila kwenye hotuba ya Bukoba!!! Sijamkubali. Kusema janga haliletwi na serikali!!! Hapo ndipo 40% nilipo zipunguza.

Rais anania ya dhati ya kulisaidia taifa ila lugha anayotumia ni Kali sana. Ajifunze lugha ya kisiasa yenye kupunguza maumivu kwa watu.

Bora angesema serikali haina pesa, pesa zimepelekwa kwenye kazi zingine. Anania ya kusaidia ila uwezo mdogo, hapo watu wange muelewa.Pia siyo mila anae kosoa ni UKAWA!!! NDIO MAANA TUNAMSIKILIZA RAIS WETU.

SUALA LA LEMA
Lema ni mbunge, anatafuta pia uungwaji mkono na wapiga kura, katika kufanya hivyo huenda akapotoka kiasi Fulani.
Lema alitumia lugha Kali sana kwa Raid wetu pia kwa mkuu wa mkoa wa Arusha, cha kufanya awaagize viongozi wa chama chake wayamalize kwa kuomba msamaha kwa alio wakosea, kisha aje hadharanj kuomba msamaha kwa Gambo na Rais kwa ujumla, pia watanzania wote,kuwa mbishi sio ustaarabu ukikosea kili, kisha omba msamaha.Huo ndio ungwana, hata mahakama ikimshikilia zaidi, kwa kuwa Alisha kili basi wakiona inafaa watamuadhibu ki sheria.

Pia Gambo awe na ukomavu wa ki siasa, ajifunze baadhi ya mambo kuacha yapite, adhabu waliompatia mahakama inatosha kwa mbunge, ajenge Arusha. Japo Mimi sio mwana Arusha ila kukosa mbunge shupavu kama Lema ni hasara kwa jimbo lao.

Haya hayahitaji siasa tena bali busara na hekima kubwa kutatatua.Kila mmoja amheshimu mwenziwe kulingana na nafasi yake kwa taifa, hata wapiga kura waheshimiwe pia.

Mwalimu T R K Tarime Mara.
 
Lema ni mbunge, anatafuta pia uungwaji mkono na wapiga kura, katika kufanya hivyo huenda akapotoka kiasi Fulani.
Lema alitumia lugha Kali sana kwa Raid wetu pia kwa mkuu wa mkoa wa Arusha, cha kufanya awaagize viongozi wa chama chake wayamalize kwa kuomba msamaha kwa alio wakosea, kisha aje hadharanj kuomba msamaha kwa Gambo na Rais kwa ujumla, pia watanzania wote,kuwa mbishi sio ustaarabu ukikosea kili, kisha omba msamaha.Huo ndio ungwana, hata mahakama ikimshikilia zaidi, kwa kuwa Alisha kili basi wakiona inafaa watamuadhibu ki sheria.

hahahahha..another Coward...Lema sio mwoga ama unavyodhani
 
Back
Top Bottom