Kwa hili UDOM nimewapongeza!

Kwa hili UDOM nimewapongeza!

Hivi unaweza kumuajiri mwalimu wa chuo kikuu kutoka SAUT/IFM/CBE/SJUT/....... hao hawafundishwi kuwa waalimu bali kuwa watendaji? So wanaajirika ila sio katika kila ajira?
Ukitaka kujua hilo angalia course contents za hivo vyuo na mitahani yake utajua tu maandalizi yao yako tofauti kbs!

Acha uongo ww.mbona course content ya saut kwenye course ya BA and MA Economics ni same as that of udsm? Na walimu karibia wote wa hii course ni product ya udsm na ndiomaana wakati saut wanaanzisha hiyo course walikuwa wanawatumia department ya uchumi pale udsm. Pia mitihani yote ya uchumi ya saut inakuwa moderated na udsm economics department.
So unaposema hivi vyuo vingine haviandai waalimu unakuwa ni km hujielewi unachoongea.
 
Kwa maana hiyo ni kuwa hata watu wanaosoma vyuo vingine ambavyo hujavitaja hapo kama UDSM na Mzumbe hawafai kufundisha vyuo hivyo wewe ulivyosema vinafundisha utendaji! kwa kuwa wao walipokuwa chuo hawakujifunza utendaji bali kusoma kwa nadharia. Sasa mtu ambaye hakujifunza utendaji atamfundishaji mtu anayetakiwa kusoma utendaji? kumbe ndiyo maana vyuo vya NACTE vinaajiri watu waliosoma vyuo vyao kwa sana kuliko Universities kwa kuwa watu wa Universities hawajui kufundisha kwenye vyuo vya aina hiyo! hapo nimekupata!

We kama unabisha bisha, ila vyuo vyenye techical abilities za kutoa wakufunzi ni UDSM, SUA na MZUMBE mpaka sasa, we chuo almost waalimu waalimu wote wana degree 2 hawana uzoefu hata wa miaka 5! Halafu kitoe waalimu? Wakafundishe nn??
Vinatoa wafanyakazi kwanza mpaka watapokuwa na wakufunzi wa kutosha.
 
We kama unabisha bisha, ila vyuo vyenye techical abilities za kutoa wakufunzi ni UDSM, SUA na MZUMBE mpaka sasa, we chuo almost waalimu waalimu wote wana degree 2 hawana uzoefu hata wa miaka 5! Halafu kitoe waalimu? Wakafundishe nn??
Vinatoa wafanyakazi kwanza mpaka watapokuwa na wakufunzi wa kutosha.

Huu ni uongo wa kimataifa....!
 
Huu ni uongo wa kimataifa....!

Si umezoea kubisha, haya bisha! labda nikuulize, chuo kama IFM/CBE/SJUT/SAUT na vingine kina maprofessor na madaktari(Seniors) wangapi ambao wanafundisha na sio watawala? Ikiwa idadi yao ni zaidi ya nusu ya waalimu wote then vinakizi vigezo otherwise!
Wanafunzi wao ni wakufanya kazi nyngne na sio wakufunzi? Wewe chuo kama UDOM/SJUT......mtu mwenye degree anafundisha mwanafunzi wa degree unatarajia nn? utoe mkufunzi wa kufundisha mtu wa degree tena thubutu?
Kuharibiana future tu!
 
Back
Top Bottom