DavidHard
JF-Expert Member
- Nov 4, 2011
- 435
- 273
Jaman wote tuliopata matokeo yet ya form four na kubahatika kushinda na kuendelea na masomo ya advance tuungane leo kumshukuru MUNGU KILA mmoja kwa imani yake.kwani o'level ni daraja kubwa na kulivuka yakupasa umtangulize Mungu mwanzo wa safari mpaka mwisho wa safari.amen.