walimu wa ajira mpya wote walishahakikiwa. walituma nakala za vyeti vyao wizara ya elimu, na wizara ya elimu kupitia NECTA wakatumia namba za vyeti hivyo kuhakiki kama ni halisi au cha gugushi. walimu wa ajira mpya wote ni salama. hakua feki wala hewa.Hapo bado hawajakuhakiki vyeti july
acha porojo. mpeleke mwanao twisheni, laa sivyo akifeli ni hasara kwako. viongozi wa serikali walishagundua kua hawatapata hasara kama mwanao akifeli kwa kutofundishwa na mwalimu mwenye njaa iliyosababisha na serikali.Sasa kama serikali imekukosea mwanafunzi kakosea nini. Fikiria nawe pia kuna wanao au nduguzo wanasoma.
walimu tafuteni mbinu mbadala wa kudai haki yenu sio kusababisha wanafunzi kufeli. Wanafunzi wakifeli sisi tunaona na nyie mmefeli katika kazi/taaluma yenu, na dharau ndio itakapozidi. Shauri yenu
Wewe jamaa kumbe mgeni wa serikali ya magufuri.walimu wa ajira mpya wote walishahakikiwa. walituma nakala za vyeti vyao wizara ya elimu, na wizara ya elimu kupitia NECTA wakatumia namba za vyeti hivyo kuhakiki kama ni halisi au cha gugushi. walimu wa ajira mpya wote ni salama. hakua feki wala hewa.
nimekupata. bas waje watuhakiki tu ili tupate vitambulisho vya NIDA. tukipata vitambulisho vya NIDA, wasirudi tena kutusumbua sumbua.Wewe jamaa kumbe mgeni wa serikali ya magufuri.
Vigezo vya uhakiki wa july ni
1.kitambulisho cha NIDA
2.salary slip
3.ID ya kazi.
Sasa hapo kwenye ivo vigezo kuna alichokuwa nacho akakipeleka huko NECTA. Watu tumehakikiwa mara kibao wao ndo wataachwa. Waambie tu wajiandae wahakikiwe ndo serikali yetu haijui basic needs za mwajiriwa bali kutoa order kwa mwajiriwa.
Yaani nimpeleke mwanangu akafundishwe twisheni na mtu aliyeshindwa kufundisha darasani? hii haiwezekani. mimi nafuatilia sana maendeleo ya wanangu darasani, kama nikiona maendeleo yanashuka ni kuhamisha shule, si kuwaambia walimu walewale walioshindwa wamfundishe mwanangu. kwa kifupi walimu wanaofundisha wanangu nawaamini, hawana vinjaa njaa vya ajabu mara sijui mwanao anahitaji tuisheni sijui nini..acha porojo. mpeleke mwanao twisheni, laa sivyo akifeli ni hasara kwako. viongozi wa serikali walishagundua kua hawatapata hasara kama mwanao akifeli kwa kutofundishwa na mwalimu mwenye njaa iliyosababisha na serikali.
ww endelea kusubiri unidhaarau eti nimefelisha mwanao, badala ya kutafuta mbinu mwanao akafaulu. shauri yako.
Sidhani kama wataacha maana lengo leo nahisi ni kupunguza watumishi, nashindwa kujua wanataka nini hasa kila siku uhakiki.nimekupata. bas waje watuhakiki tu ili tupate vitambulisho vya NIDA. tukipata vitambulisho vya NIDA, wasirudi tena kutusumbua sumbua.
ushauri wangu ni huu: mpeleke mwanao shule ya private. hata viongozi wa seriakli yetu hawawaamini hawa walimu wenye njaa iliyosababishwa na serikali, ndio maana watoto wao wanasomea shule za private. ukimhamisha shule nyingine ya umma, na kule kukawa na walimu wenye njaa iliyosababishwa na serikali, utakua umecheza mchezo wa utotoniYaani nimpeleke mwanangu akafundishwe twisheni na mtu aliyeshindwa kufundisha darasani? hii haiwezekani. mimi nafuatilia sana maendeleo ya wanangu darasani, kama nikiona maendeleo yanashuka ni kuhamisha shule, si kuwaambia walimu walewale walioshindwa wamfundishe mwanangu. kwa kifupi walimu wanaofundisha wanangu nawaamini, hawana vinjaa njaa vya ajabu mara sijui mwanao anahitaji tuisheni sijui nini..
Hapa umenena vyema kabisa. lakini suala moja linabaki je kwa wale wasiojiweza kupeleka watoto wao shule za binafsi ndio wafanye nini? au ndo wanawatoa watoto wao mhanga?ushauri wangu ni huu: mpeleke mwanao shule ya private. hata viongozi wa seriakli yetu hawawaamini hawa walimu wenye njaa iliyosababishwa na serikali, ndio maana watoto wao wanasomea shule za private. ukimhamisha shule nyingine ya umma, na kule kukawa na walimu wenye njaa iliyosababishwa na serikali, utakua umecheza mchezo wa utotoni
acha kukurupuka kitoto. kama na wewe ni muhusika, haraka iwezekanavyo, ongea na wenzako walete hela za kujikimu za walimu wa ajira mpya 2017, wanaishi kwa taabu sana. mnayofanya ndiyo yanayosababisha yatokee hayo unayoyakemea kinafiki.Kwa hiyo wewe ni mwalimu kwa ajiri ya kufundisha tuition au darasani ulipopangiwa na kulipwa mshara!?
Hiyo tuition umeisema inaelekea wazazi wamejua tabia zenu za kutowafundisha makusudi na kutaka waje after school ndio muwafundishe.
Sasa umeleta uzi mzuri ambao ma afisa el8mu wakiusoma atapata motisha wa kupambana nanyi na kuwasomesha namba. Kama unaona hamlipwi si muandike barua kunakohusika... kma hakyjibu lazima ni kwamba labda hakuwa bado na jibu na ikawa vyema kujipanga kwanza kuliko kushusha uongo.. ila angesema kitu tho.
Itakuwa vizuri wakuu wa mikoa yote wakifata alichokifanya Mh. Makonda, ambapo amewapa ukweli maafisa na options mbili TU.
Haufahi kuwa mwalimu mwrnye chuki hivi, kazo ya ualimu kwani ulilazimishwa!? Unatia aibu wenzako, jisikitikie kwa hao uliyoandika juu ya eti wanafunzi kufeli. Na ukamatwe ufukuzwe kwa kutofundisha.
wasio na uwezo wa kuwapeleka watoto wao shuleni, wajikusanye wakemee matendo ya mazoea ya serikali dhidi ya walimu.Hapa umenena vyema kabisa. lakini suala moja linabaki je kwa wale wasiojiweza kupeleka watoto wao shule za binafsi ndio wafanye nini? au ndo wanawatoa watoto wao mhanga?
Hili ulilolisema la wasiojiweza kukemea serikali yao ni ngumu sana. Hii ni kwa sababu asilimia kubwa ya walioipigia kura hii serikali iingie madarakani ndio hao wasiojiweza. Tanzania nchi ya ajabu sanawasio na uwezo wa kuwapeleka watoto wao shuleni, wajikusanye wakemee matendo ya mazoea ya serikali dhidi ya walimu.
mfano mpaka sasa serikali ktk matendo yake ya mazoea, imegoma kuwapa pesa za kujikimu walimu ajira mpya 2017, hali inayowafanya walimu hao kuiishi kwa tabu sana
sasa kama hawana uwezo wa kupeleka watoto wao ktk shule za private na hawataaki kukemea maovu ya serikali dhidi ya walimu, basi waisome namba kwa kusubiri watoto wao wamalize shule. kumaliza shule kuna maana na kutoendelea popote.Hili ulilolisema la wasiojiweza kukemea serikali yao ni ngumu sana. Hii ni kwa sababu asilimia kubwa ya walioipigia kura hii serikali iingie madarakani ndio hao wasiojiweza. Tanzania nchi ya ajabu sana
acha kukurupuka kitoto. kama na wewe ni muhusika, haraka iwezekanavyo, ongea na wenzako walete hela za kujikimu za walimu wa ajira mpya 2017, wanaishi kwa taabu sana. mnayofanya ndiyo yanayosababisha yatokee hayo unayoyakemea kinafiki.
sasa kama hawana uwezo wa kupeleka watoto wao ktk shule za private na hawataaki kukemea maovu ya serikali dhidi ya walimu, basi waisome namba kwa kusubiri watoto wao wamalize shule. kumaliza shule kuna maana na kutoendelea popote.
ukitenda dhambi lazima uadhibiwe. kama wazazi nao wanatenda dhambi ya kutokemea maovu, basi hiyo itakua adhabu yao bubashara.
wewe mama umerogwa nini. hivi unafurahia juhudi za serikali kuwanyima walimu pesa za kujimu? hivi unajua madhara ya uamuzi haramu wa serikali kuwanyima walimu pesa za kujikimu?Mwalimu kama wewe ni hatari haufai kuwa mwalimu, lazima una hasira na labda mengine uliyotaka kufanya ukashindwa. Usitolee hasira kwa wanafunzi huku unajua yalikushindwa mwenyewe na ukusukumwa kuwa mwalimu. Kuwa mwalimu ina mengi sana, acha kazi hiyo tafuta ingine hifai kuendelea kufundisha kabisaaaaaaa. Acha tamaaaa, uliza wenye ujuzi hapo wakufunze wamefikaje walipo.
Usisahau kuandika barua kuwauliza wahusika na tumia lugha kama hiyo juu... watakupa na shahada ya kuwa mwalimi bora na kukupigia makofi watakapo soma jina lako.