Titicomb
JF-Expert Member
- Jan 27, 2012
- 11,324
- 17,829
Hiyo kauli ya kawaida sana sio shombo za kama wabunge flani wa upinzani. Hao ni kauli kali na za ovyo sana kama wana ugomvi binafsi na mpinzani wao.Hivi unajua Mnyika aliwahi kumuita JK dhaifu bungeni,lakini alipokutana naye walisalimiana na kucheka na hata ikulu pia alipokelewa bila kinuniwa.