Kwa hili, Rostam Aziz hutasameheka

Hivi unajua Mnyika aliwahi kumuita JK dhaifu bungeni,lakini alipokutana naye walisalimiana na kucheka na hata ikulu pia alipokelewa bila kinuniwa.

Hiyo kauli ya kawaida sana sio shombo za kama wabunge flani wa upinzani. Hao ni kauli kali na za ovyo sana kama wana ugomvi binafsi na mpinzani wao.
 
Unaweza ukawa Sawa au Usiwe Sawa Mtoa mada r.i.p. Pengine alishikwa na Jazba tu but Mtu yeyote akiomba msamaha husamehewa so hii itabakia kama ilivyo sababu Rostam hakuwahiOmba Msamaha kwa Wananchi yawezekana kwa Mungu wake alishaomba au anaendelea Kuomba Samehe Saba mara Sabini.. Ukisamehe na Mungu Anasamehe..

Na Pia Usilaani kwani nawe Utalaaniwa
Dogo kumbe wewe wa kitambo humu
 
Namba tisa hatari sana! Ningepata fursa ya kufika hicho kijj na kuishi hapo ninge enjoy sana... Japo Inasikitisha 😔
 
Back
Top Bottom