Greatness is within
Member
- Apr 16, 2018
- 92
- 60
Hahahahaha mshana Jr unamaanisha maskini hawaingiwi na mapepo?Hakuna hela... Halafu hakuna wazambi wenye mapepo
Hahahahaha mshana Jr unamaanisha maskini hawaingiwi na mapepo?Hakuna hela... Halafu hakuna wazambi wenye mapepo
Wakatoric ndivyo mlivyo ,kunywa tu mkuu maana hujaokokamimi ni mkatoliki, hayo mambo mengine sijui miujiza sijui nn mimi sielewi kwani miujiza alishafanya Yesu......hebu lete balimi 5 hapa nizipige ili niweze kupata miujiza ya kutafuta hela.....
Yaani kanali unababaishwa na hao? Mimi mtu anayejidai kaokoka, mtu wa Mungu mara mwimbaji wa injiri, kwangu hapiti. Nyimbo nitasikiliza kanisani siyo barabarani au Stadium!!! Mungu yupo rohoni mwetu siyo kwenye vikapu vya sadaka jamani.Kuna Mchungaji uchwara mmoja mm kanidhulumu pesa yangu nimemfanyia kazi. Watu wanatumia neno la Mungu kujipatia fedha tu.
Wenye mapepo ni akina Rose Muhando waliotikisa dunia na nyimbo kumbe wanabwia na Bashite yawezekana analijua hilo maana huyo Rose hakosi kwenye sherehe za Chatel.Hahahahaha mshana Jr unamaanisha maskini hawaingiwi na mapepo?
BURIANI WEWE KWANZAAaamen barikiwa kwa wosia.... Buriani ndugu