Nelson nely
JF-Expert Member
- Jan 25, 2014
- 4,251
- 2,870
Aisee....Askofu Gamanywa amejibu hii jioni yaleo!""" Very good indeed!
Aisee....Askofu Gamanywa amejibu hii jioni yaleo!""" Very good indeed!
Atakupa kiasi gani? Sikiliza dini ipo ndani ya roho ya mtu wala haina shule na mafundisho. Mtu kama alisoma mafundisho akamaliza process zote za kuwa mkristu anahitaji nini kwenda kusikiliza wanaopiga kelele mabarabarani?Hii ni Kweli tupu isiyo na shaka yoyote ndani yake!
Lakini pia pia mtafute Mungu wake Kweli maadamu anapatikana, nimeona nimeshuhudia. Ukitaka msaada au utumishi wa kweli tuwasiliane
Ujanja mkubwa hutumika siku hizi kuwadanganya watu kwenda kwenye upotevu. Jiulize kwanini wachungaji/manabii/mitume hawa wanajilimbikizia mali kiasi hicho? Aafu hata siku moja hutaona mchungaji fulani akishirikiana na mwingine kwenye jambo la kiroho eg. Kakobe ashirikiane na Mwingira au Mzee wa Upako...never. Kila mmoja anajua anachokifanya ni nini, hakuna ukweli wowote, pesa ndio lengo lao!Hakuna hela... Halafu hakuna wazambi wenye mapepo
Mbona biblia inasema alifufuka kitambo sana, au inatudanganya kumbe yesu bado kafa!Laiti yesu angefufuka leo ghafla hakika angezitia kiberiti hizi redio na makanisa yanayojiendesha kibiashara
Namaanisha angeibuka hapa TanzaniaMbona biblia inasema alifufuka kitambo sana, au inatudanganya kumbe yesu bado kafa!
Aaamen barikiwa kwa wosia.... Buriani nduguULITAKA AWEKE MATANGAZO YA KUSAFISHA NYOTA KWA MGANGA KUTOKA SUMBAWANGA? ACHA WATU WAENDE WASIKILIZE NENO, MIUJUZA AMBAO HAUJAWAHI KUUONA NI WEWE KUMKUBALI YESU NA KUBADILISHA MWENENDO WA MAISHA YAKO KUTOKA MBAYA KUWA MZURI