Kwa hili, PSPF ni mfuko bora zaidi

Ishimba

Member
May 19, 2017
22
84
Ni hakika kuwa mifuko ya pensheni iko mingi hapa Tanzania.

Kila mfuko umekuwa ukijitahidi kubuni namna bora ya kuvuta wanachama. Mbinu niyngi zimekuwa zikitumika, zikiwamo hata zisizokuwa na ukweli, ili muradi tu, wapatikane wanachama na kuendelea kuchangia.

Hata hivyo, bila kuwa na hisa wala maslahi binafsi, napenda kuweka wazi kuwa PSPF ni mfuko unaostahili sifa kubwa kutokana na namna unafanya kazi.

Hawa PSPF wamekuwa wakija na ubunifu wa aina mbalimbali na katika uchunguzi wangu, nimeona hawa ndiyo wanaongoza kwa kuwapa wanachama wao kile kinachostahili.

Mengi yamekuwa yakifanywa, lakini hili la kutoa mafunzo kwa wastaafu watarajiwa, kwa kweli ni jema na hakika linaleta faraja.


Hongereni sana PSPF.
 

Attachments

  • pspf1.JPG
    pspf1.JPG
    23.6 KB · Views: 86
Mkuu, aksante, kinachofanyika kwa hawa jamaa, ni kuhakikisha wanampanga na kumwelimisha mstaafu ili asitumie fedha zake bila mipango yenye kumhakikishia maisha endelevu, bila kugeuka ombaomba baada ya kumaliza fedha zake bila kuzifnyia kazi inayomwezesha kupata hayo maendeleo.

Lakini pia zipo taratibu za kupata mafao yako kama kuna ulazima wa kufanya hivyo, mie sio mtaalamu sana. unaweza kuwafikia na wakakupa zaidi
 
Fao la uzazi lipo? 2014 nlienda nikaambiwa bla bla bla nilimind mno
pole best ila nashangaa wanasema kuwa eti fao la uzazi na kujifungua lipo ila sijui ndo maneno ya kutaka watu wajiunge huko maana hata mm sijawasoma bado
 
pole best ila nashangaa wanasema kuwa eti fao la uzazi na kujifungua lipo ila sijui ndo maneno ya kutaka watu wajiunge huko maana hata mm sijawasoma bado
Wakitangaza biashara wanasema fao lipo ukienda ofisini bla bla wanakera hawa
 
Ni hakika kuwa mifuko ya pensheni iko mingi hapa Tanzania.

Kila mfuko umekuwa ukijitahidi kubuni namna bora ya kuvuta wanachama. Mbinu niyngi zimekuwa zikitumika, zikiwamo hata zisizokuwa na ukweli, ili muradi tu, wapatikane wanachama na kuendelea kuchangia.

Hata hivyo, bila kuwa na hisa wala maslahi binafsi, napenda kuweka wazi kuwa PSPF ni mfuko unaostahili sifa kubwa kutokana na namna unafanya kazi.

Hawa PSPF wamekuwa wakija na ubunifu wa aina mbalimbali na katika uchunguzi wangu, nimeona hawa ndiyo wanaongoza kwa kuwapa wanachama wao kile kinachostahili.

Mengi yamekuwa yakifanywa, lakini hili la kutoa mafunzo kwa wastaafu watarajiwa, kwa kweli ni jema na hakika linaleta faraja.


Hongereni sana PSPF.
Mfuko bora ni ule unaotoa mafao ya mwanachama pindi anaacha kazi au anasitafu bila kusubiri miaka 60 ufe. Ni NSSF Pekee ndiyo inatoa mafao
 
Ni hakika kuwa mifuko ya pensheni iko mingi hapa Tanzania.

Kila mfuko umekuwa ukijitahidi kubuni namna bora ya kuvuta wanachama. Mbinu niyngi zimekuwa zikitumika, zikiwamo hata zisizokuwa na ukweli, ili muradi tu, wapatikane wanachama na kuendelea kuchangia.

Hata hivyo, bila kuwa na hisa wala maslahi binafsi, napenda kuweka wazi kuwa PSPF ni mfuko unaostahili sifa kubwa kutokana na namna unafanya kazi.

Hawa PSPF wamekuwa wakija na ubunifu wa aina mbalimbali na katika uchunguzi wangu, nimeona hawa ndiyo wanaongoza kwa kuwapa wanachama wao kile kinachostahili.

Mengi yamekuwa yakifanywa, lakini hili la kutoa mafunzo kwa wastaafu watarajiwa, kwa kweli ni jema na hakika linaleta faraja.


Hongereni sana PSPF.
Nilitaraji kuona/kusoma sababu za kwanini PSPF ni mfuko bora zaidi wa pensheni kulikoni mingine yote hapa tanzania,naona umefeli kabisa katika somo la marketing & sales!
 
Back
Top Bottom