Prince Kunta
JF-Expert Member
- Mar 27, 2014
- 22,869
- 29,031
Kama fao la kujitoa hawana basi hizi ni ngonjera tu
Wawalipe wafanyakazi wastaafu wa utafiti TARO na TALIRO kama guidelines za SSRA inavyopendekeza ndio tutawaona wana tenda haki. Wengi wa wafanyakazi waliokua utafiti wamekatwa miaka 7 bila maelezo. Wengi wao wameshakufa bila kupata haki zao. Hata Ukiwaandikia barua hawajibu. Hili ni shirika la serikali kweli? Hichi kiburi wanakitoa wapi? Hawastahili hizo sifa.Kwani sijatoa sababu? Hilo la kuwalipa Wastaafu pensheni zao kila mwezi bila kuchelewesha sio sababu?
Bora umempa ukweliSawa tumekuelewa naona umekuja kutangaza biashara.