Kwa hili, nasimama na Yericko Nyerere

Kwa hili, nasimama na Yericko Nyerere

Oduru

JF-Expert Member
Joined
Jul 19, 2020
Posts
1,175
Reaction score
2,278
Kila mtu anayo haki ya kuamini achokiamini , na hata asipo amini kabisa mambo ya Mungu ni haki ya mtu.

Screenshot_2026-06-11_113458.jpg
 
Haimaanishi usiambiwe ukweli, huo Uhuru unaousema haimaanishi utaenda mahali Mungu amepaandaa kwa ajili ya waamini wake.
 
Haka kajamaa eti ndo kalimuwa think tank wa CDM, kama nchi tumechezewa sana akili !

Siku kakavimbiwa nyama na pombe za bure kakasema mbowe ni alfa na omega
 
Huyo mwizi wa magari kuna wajinga wanamuita nabii , huyu anapenda kujifanya ana maono kumbe fala ..Alimtabiria kifo Kikwete muda sana hata miaka minne nyuma , hapo kato walikufa wakina Mtei, ndugu zake , makada na viongozi wa chadema. Ikitokea akafa kwa mapenzi ya muumba , wanakuja wajinga wale waumini wake eti jamaa alisema bhana, wakimpa kichw.

Wafuasi wa huyu bhana ni wajinga.
 
Back
Top Bottom