Kwa hili linaloendelea Uganda tunalo la kujifunza!

The Cock

Senior Member
Nov 14, 2013
172
287
Ni maombi ya Shukrani, (End of Year Thanksgiving Prayers) yakiongozwa na Rais Museveni pamoja na firstlady yakifanyika Ikulu ya nchi hiyo ambapo viongozi wa dini zote wamealikwa kumshukuru Mungu na kuliombea Taifa

Kwa mtazamo wangu, jambo hili ni zuri kwani katika mwaka mzima Mungu ametuepusha na mengi na tumeendelea kuwa na Upendo, amani, mshikamano na umoja wa Kitaifa.
 
Juu au chini ya meza huna lolote la kuwaambia?

IMG_20231208_100714.jpg
 
Mangu alivyoitisha maombi kwa ajili ya korona mlimdhihaki sana na museven alikua mmoja wao. Leo kaiga mnamuona shujaa aiseee
 
Ni maombi ya Shukrani, (End of Year Thanksgiving Prayers) yakiongozwa na Rais Museveni pamoja na firstlady yakifanyika ikulu ya nchi .
Mathayo 6:6
[6]Bali wewe usalipo, ingia katika chumba chako cha ndani, na ukiisha kufunga mlango wako, usali mbele za Baba yako aliye sirini; na Baba yako aonaye sirini atakujazi.

But thou, when thou prayest, enter into thy closet, and when thou hast shut thy door, pray to thy Father which is in secret; and thy Father which seeth in secret shall reward thee openly.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huyu Mzee kazeeka na tunavyojua akili za wazee hufanya kazi kwa kiwango cha chini kama watoto, ye akidanganywa na mkewe kuwa maombi yatafanya atawale milele na hawezi kufa basi hata hao waombeaji watapewa mafungu makubwa ya sadaka, hicho ndo unataka tuige au?
 
Viongozi wanafiki sana
Wanavyojilimbikizia mali wao na familia zao
Halafu eti wanaomba
Hawana hata aibu
Kuna watu wanalala njaa kwa sababu ya tamaa za wachache
 
Back
Top Bottom