kingkimwe
JF-Expert Member
- Feb 12, 2015
- 1,547
- 1,959
Una hoja ya kimsingi SANA, mf., mshahara wa 40'000 kwa mwezi kiukweli haotoshi kabisa- Huu ni utumwa uliokithiri. Kufanya kazi isiyo na maslahi bora wala ukomo wa muda wa kazi kwa siku yahitaji moyo wa ki-MUNGU. Hawa wadada wataendelea sana kuwa makatili endapo waajiri wao wasipo watengenezea maslahi bora na kujaliwa kwa dhati- Hakuna shortcut kwenye hili
Kula , kuvaa .,matibabu ,kulala ,na mengineyo apewe 250k sio? Wakati Kima cha chini napokea 260k Acha kukurupuka mzee mzima