mrangi
JF-Expert Member
- Feb 19, 2014
- 80,877
- 106,138
Kuna housegirls wengine na ma houseboy maboss wao wanawathamini sanaCareer ya uhudumu wa nyumbani kwa afrika siyo kazi,na haitoweza kuchukuliwa kama kazi! Tunawachukulia kama wasaidizi,wanakuwa sehwm ya familia zetu ndo maana tunaishi nao pale tunapoishi,tunakula nao kile tunachokula etc,malipo tunachowapa siyo mshahara ni kama ahsante na posho kwa kutusaidia,kwa maisha yetu kinatosha sana sababu hana majukumu mengine ya kutumia kiasi hicho zaidi ya kutuma nyumban kununulia vitu binafsi visivyo vya ulazima!!kama mnataka iwe kqzi serious basi tukubaliane pia alipe kodi,ajigharamie huduma zake za msingi ikiwemo chakula etc mwisho wa siku hqta ukimlipa 300,000 haitomtosha!
Maana wameshaona umuhimu wao kwao
Ova