Kwa hili la Wafanyakazi wa Ndani, Serikali inakosea sana

Pia zingatieni kuwa house girls anakaa kwenye familia anayofanya kazi.

Iwapo angefanya Kwa mhindi au familia zenye uwezo angekuwa anaenda asubuhi na kurudi jioni ,

Hapo angeyakiwa apange chumba lakini anakaa nyumbani anajifanya kazi,

Kwa hiyo mwenye kukaa na yaya iwapo analala chumba chake peke yake inabidi kukithaminisha iwapo angepanga mtaani angelipa shilingi ngapi ?

Akiumwa anatibiwa,

Chakula anachokula asubuhi mchana na jioni, unajua mfanyakazi wa serikali wa kina cha chini huwa anajitegemea chakula ?!

Lakini yaya anakula milo yote anakofanya kazi,

Je tuithaminishe?

Sabuni anayoogea na kufulia nguo zake,

Mafuta ya kupaka,

N.k

Ukithaminisha hivyo vyote utakuta pesa yake ni nyingi.
Kwani house girl alishawahi kupewa option ya kuchagua kama alipwe cash hela anayostahili -a decent pay- ili ajiamulie malazi na chakula 🤣 🤣 ? Ifike tu mahali serikali iweke standard
 
Niliwahi sema tena humu, yupo aunt yangu hapo dsm pia mtoto wake wa miaka sita aliwahi nyongwa na mazingira hayo hayo miaka kama sita iliyopita.

Sijui hata shida iko wapi mpaka kufikia house girls kuwa na roho za kishwetani kiasi hiki
 
Niliwahi sema tena humu, yupo aunt yangu hapo dsm pia mtoto wake wa miaka sita aliwahi nyongwa na mazingira hayo hayo miaka kama sita iliyopita.

Sijui hata shida iko wapi mpaka kufikia house girls kuwa na roho za kishwetani kiasi hiki
Ndio maana nimeandika hapo juu hao watoto ni victims wa maisha magumu waliyopitia hivyo kunaweza kuwa na shida ya akili
 
Una hoja ya kimsingi SANA, mf., mshahara wa 40'000 kwa mwezi kiukweli haotoshi kabisa- Huu ni utumwa uliokithiri. Kufanya kazi isiyo na maslahi bora wala ukomo wa muda wa kazi kwa siku yahitaji moyo wa ki-MUNGU. Hawa wadada wataendelea sana kuwa makatili endapo waajiri wao wasipo watengenezea maslahi bora na kujaliwa kwa dhati- Hakuna shortcut kwenye hili
Tena basi afadhali hiyo 40k angekuwa analipwa kwa wakati. Mara nyingi wanajidai wanawawekea zikifika hela nyingi wanatafutiwa sababu wanatimuliwa bila kulipwa hata senti tano.
 
Wanaotakiwa kuchukua hatua na wenyewe wameajiri wasichana wa kazi kwa terms hizohizo za kinyonyaji unadhani kuna kitu watafanya?
 
Hivi Mtu kipato Chako ni 400k ukipata shida kidogo ,kuna ada ,kuna vikoba sijui House Girl atakumbukwa ?
 
Tena basi afadhali hiyo 40k angekuwa analipwa kwa wakati. Mara nyingi wanajidai wanawawekea zikifika hela nyingi wanatafutiwa sababu wanatimuliwa bila kulipwa hata senti tano.
Tatizo watu vipato vidogo bado wanataka wawe na House girls
 
Wapo house girl wengine wanafanya kazi kwa mashuwa wanalipwa hadi 500,000/ na posh juu

Ova
 
Yupo mmoja alimtia kid wa mwenye nyumba aged 6½month kwenye fridge akakimbia mwenye nyumba kurudi akakuta nyumba nyeupe akaenda kutoa taarifa polisi amerudi anasema ngoja ninywe maji ya baridi kufungua fridge akakuta mwanae ameshakufa.

Zipo pia case za watoto kupigishwa deki kwenye nyuchi za hawa mahaus gel wazazi wawapo makazini unamlipa mshahara vizuri ukijua hatamdhuru kumbe anamtia mtoto cancer ya koo.
So true
 
Wafanyakazi kwenye baadhi ya familia unakuta wananyimwa chakula, hawapewi nafasi ya kulala inavyostahili, hawalipwi mshahara bora, wanapigwa, wanachomwa, hawaruhusiwi kujumuika na wengine katika familia, wanafanyiwa ukatili wa kijinsia- unategemea wanakuja kuleta matokeo gani kwenye jamii zaid ya wao kuja kuwa na watukio ya ajabu? and at the same time wafanyakazi wengi wa majumbani ni watoto wadogo wengine mpaka 12 years
Watesaji wa kubwa ni Wanawake wenzao.Kwa Sasa hata ndugu hawataki kukaa na watoto wa ndugu yao.
Dunia shetani anatawala Sasa ,Kwa hiyo hata mshahara ungekua mil. Moja Bado ukatili ungekuwepo. Utu umepotea kabisa. Miaka 50 ijayo patakua na migahawa ya supu ya nyama za watu.
 
Una hoja ya kimsingi SANA, mf., mshahara wa 40'000 kwa mwezi kiukweli haotoshi kabisa- Huu ni utumwa uliokithiri. Kufanya kazi isiyo na maslahi bora wala ukomo wa muda wa kazi kwa siku yahitaji moyo wa ki-MUNGU. Hawa wadada wataendelea sana kuwa makatili endapo waajiri wao wasipo watengenezea maslahi bora na kujaliwa kwa dhati- Hakuna shortcut kwenye hili

Wanapata security na chakula, ila kuna waajiri wanawaexploit sababu wako vulnerable, mtu akikumbuka maisha aliyoishi before anaona bora avumilie manyanyaso ya mwajiri, sasa manyanyaso yakizidi,mdada wa kazi analipuka puuuu...serikali ipunguze vulnerability kwa kutarget watoto wenye mazingira magumu...kwa kuwapa stadi za maisha, mfano kushona,kupika etc,ukiwajengea capability,wataweza kujitegemea.....sielewagi kwa nini jeshi ni kwa watu waliomaliza form six ambapo wengi wana choices za kwenda chuo na kujiongezea chances za kupata ajira, jeshi lingekua ni kwa watu kama hawa, wakasome stadi za maisha huko..wakitoka wanakuwa na 'uzalendo' zaidi sababu nchi imewavusha, sijaona faida ya jeshi wa form six...what do they gain from it?
 
Mnapojadili ni vema kuzingatia ukubwa wa familia.

Kuna familia nyingine house girl akishafanya usafi asubuhi atashinda kutwa nzima hana kazi hadi jioni ndio apike chakula cha jioni.

Mchana ni kulala na kuangalia TV tu.

Sasa wa hivyo utamlipa shilingi 100,000/- ?
Kweli kabisa , waafrika ni wepesi wa kuzoza bila kufanya utafiti.

Mwenyenyumba anaweza akawa na madeni kila mahali ili kupata mahitaji ya familia kwenye nyumba lakini house girl ameshashiba na kuvimbiwa ,ameoga, analala vizuri,anatibiwa , anapumzika zaidi ya masaa 18 na kuangalia TV tu. Kazi anazofanya ni zile ambazo hata angekua nyumbani kwao anazifanya na halipwi. Kifupi na kiuhalisia wadada wa kazi ndio mabosi kwenye nyumba.

Kupika chakula ni Kwa ajili yake kwanza.
Usafi wa nyumba hata angekua kwake angefanya.
Nyumba nyingi za mijini Zina maji ndani au jirani.
Wengi wa mahouse girl wanakuja na fikra mbaya TU wao wenyewe, Hawajitumi mpaka wapigiwe kelele.

Wengi wanadanganyana na wanaume kwenye simu na kuanza kuwaza wanaume waliowaacha Huko walikotoka na kuanza kuwa visirani.
 
Pia zingatieni kuwa house girls anakaa kwenye familia anayofanya kazi.

Iwapo angefanya Kwa mhindi au familia zenye uwezo angekuwa anaenda asubuhi na kurudi jioni ,

Hapo angeyakiwa apange chumba lakini anakaa nyumbani anajifanya kazi,

Kwa hiyo mwenye kukaa na yaya iwapo analala chumba chake peke yake inabidi kukithaminisha iwapo angepanga mtaani angelipa shilingi ngapi ?

Akiumwa anatibiwa,

Chakula anachokula asubuhi mchana na jioni, unajua mfanyakazi wa serikali wa kina cha chini huwa anajitegemea chakula ?!

Lakini yaya anakula milo yote anakofanya kazi,

Je tuithaminishe?

Sabuni anayoogea na kufulia nguo zake,

Mafuta ya kupaka,

N.k

Ukithaminisha hivyo vyote utakuta pesa yake ni nyingi.
Mwisho wa siku ukipanga Mahesabu mshahara unaomlipa h/girl unakuwa mkubwa kuliko hata unaolipwa wewe mwenye nyumba
 
Kweli kabisa , waafrika ni wepesi wa kuzoza bila kufanya utafiti.

Mwenyenyumba anaweza akawa na madeni kila mahali ili kupata mahitaji ya familia kwenye nyumba lakini house girl ameshashiba na kuvimbiwa ,ameoga, analala vizuri,anatibiwa , anapumzika zaidi ya masaa 18 na kuangalia TV tu. Kazi anazofanya ni zile ambazo hata angekua nyumbani kwao anazifanya na halipwi. Kifupi na kiuhalisia wadada wa kazi ndio mabosi kwenye nyumba.

Kupika chakula ni Kwa ajili yake kwanza.
Usafi wa nyumba hata angekua kwake angefanya.
Nyumba nyingi za mijini Zina maji ndani au jirani.
Wengi wa mahouse girl wanakuja na fikra mbaya TU wao wenyewe, Hawajitumi mpaka wapigiwe kelele.

Wengi wanadanganyana na wanaume kwenye simu na kuanza kuwaza wanaume waliowaacha Huko walikotoka na kuanza kuwa visirani.
 
Pia zingatieni kuwa house girls anakaa kwenye familia anayofanya kazi.

Iwapo angefanya Kwa mhindi au familia zenye uwezo angekuwa anaenda asubuhi na kurudi jioni ,

Hapo angeyakiwa apange chumba lakini anakaa nyumbani anajifanya kazi,

Kwa hiyo mwenye kukaa na yaya iwapo analala chumba chake peke yake inabidi kukithaminisha iwapo angepanga mtaani angelipa shilingi ngapi ?

Akiumwa anatibiwa,

Chakula anachokula asubuhi mchana na jioni, unajua mfanyakazi wa serikali wa kina cha chini huwa anajitegemea chakula ?!

Lakini yaya anakula milo yote anakofanya kazi,

Je tuithaminishe?

Sabuni anayoogea na kufulia nguo zake,

Mafuta ya kupaka,

N.k

Ukithaminisha hivyo vyote utakuta pesa yake ni nyingi.
Waafrika ni wabinafsi na wanapenda kuambiwa uwongo ndio wanafurahi. Kuna wafanyakazi ambao Kwa Mwezi wanakosa akiba 50,000/- baada ya matumizi yote ,lakini house girl anaipata akiwa tayari ameoga, amekula Kwa Mwezi mzima,amefua, amepata ,Matibabu ,amelala nyumba ambayo halipi Kodi, amekunywa maji ,umeme anatumia , anaanglia TV na taka taka za nyumba zimelipiwa na zimezolewa na sungusungu wameshalipwa Kwa ajiili ya ulinzi.
 
Waafrika ni wabinafsi na wanapenda kuambiwa uwongo ndio wanafurahi. Kuna wafanyakazi ambao Kwa Mwezi wanakosa akiba 50,000/- baada ya matumizi yote ,lakini house girl anaipata akiwa tayari ameoga, amekula Kwa Mwezi mzima,amefua, amepata ,Matibabu ,amelala nyumba ambayo halipi Kodi, amekunywa maji ,umeme anatumia , anaanglia TV na taka taka za nyumba zimelipiwa na zimezolewa na sungusungu wameshalipwa Kwa ajiili ya ulinzi.
Na bado anafanya ufirauni. Ndio nikasema watu wengine hawasharifiki. Na wengine wakikuona una roho ya imani ndio hutaka waku test na maujinga ujinga yao
 
Career ya uhudumu wa nyumbani kwa afrika siyo kazi,na haitoweza kuchukuliwa kama kazi! Tunawachukulia kama wasaidizi,wanakuwa sehwm ya familia zetu ndo maana tunaishi nao pale tunapoishi,tunakula nao kile tunachokula etc,malipo tunachowapa siyo mshahara ni kama ahsante na posho kwa kutusaidia,kwa maisha yetu kinatosha sana sababu hana majukumu mengine ya kutumia kiasi hicho zaidi ya kutuma nyumban kununulia vitu binafsi visivyo vya ulazima!!kama mnataka iwe kqzi serious basi tukubaliane pia alipe kodi,ajigharamie huduma zake za msingi ikiwemo chakula etc mwisho wa siku hqta ukimlipa 300,000 haitomtosha!
 
Back
Top Bottom