Sisi wana zuoni tunaamini uovu una mda wake unaishaaa
Kwa penalty hii isiyo na shaka nasema we refa na waliokutuma mkalaaniwe maisha yenu yote na vizazi vyenu
Mda ukifika itasema
View attachment 3349201
Sikiliza wewe mental...Simba kua hapo ni mpango wa Mungu.
Ubaya Ubwela ukigusa lazima ufe.
Unajibizana na mental illness, kweli utatoboa?Hapa Mungu alikua wapi?View attachment 3349256
Urefarii ulisomea chuo gani, mangi?Sisi wana zuoni tunaamini uovu una mda wake unaishaaa
Kwa penalty hii isiyo na shaka nasema we refa na waliokutuma mkalaaniwe maisha yenu yote na vizazi vyenu
Mda ukifika itasema
View attachment 3349201
Kayoko is typing.......Sisi wana zuoni tunaamini uovu una mda wake unaishaaa
Kwa penalty hii isiyo na shaka nasema we refa na waliokutuma mkalaaniwe maisha yenu yote na vizazi vyenu
Mda ukifika itasema
View attachment 3349201
Kabla ya mechi tulikubaliana kwamba isitolewe penati maana magoli ya penati ni ya mchongoSisi wana zuoni tunaamini uovu una mda wake unaishaaa
Kwa penalty hii isiyo na shaka nasema we refa na waliokutuma mkalaaniwe maisha yenu yote na vizazi vyenu
Mda ukifika itasema
NakaziaKabla ya mechi tulikubaliana kwamba isitolewe penati maana magoli ya penati ni ya mchongo
Tulishakubaliana penati zote ni mchongo. Hakuna kutoa penatiMbona nasikia zilikuwa Tatu wewe unazungumzia moja🤣🤣🤣
Tulishakubaliana penati zote ni mchongo. Hakuna kutoa penatiKayoko is typing.......
Tulishakubaliana penati zote ni mchongo. Hakuna kutoa penatiHuku ndo kunakowaponzaga, mbeleko mpaka wanazoea.. Wakitoka nje wanaishia kulialia na refa, mana washazoea kubebwa
Tulishakubaliana penati zote ni mchongo. Hakuna kutoa penatiWanabebwa huku na wao wanalia huko CAF..
Mbereko Fc ili wapate ushindi, kazima wabebwe na waamuzi. Nje ya hapo, ni sare au kipigo.Huku ndo kunakowaponzaga, mbeleko mpaka wanazoea.. Wakitoka nje wanaishia kulialia na refa, mana washazoea kubebwa