mimi ni mkristo na nina amini kabisa kumshuhudia mabaya kuhani wa Mungu ni dhambi kubwa sana,but nakumbuka mwaka juzi wakati bado naishi dar maeneo ya mwananyamala kwa kopa huyu mzee alikuwa na mazoea ya kupita na mwanamke mmoja mtu mzima hivi usiku wa saba ktk gari lake kupitia ile barabara inayopita kituo cha polisi kwa kopa..waliokuwa wanamfaham yule dada wanadai anaishi block 41 kinondoni..ki ukwel hichi kitu mi kilikuwa kinanishangaza mnoo hv huyu mwanamke ni nani??na je inakuwaje wanakuwa ktk gari na mtumishi huyu wa mungu wakiwa wawili tu ktk gari???? tena saa saba ucku wametoka wapi???hlf wala siyo mara moja wala mbili kupita nae, hv wanakuwa wametokea wapi na wanakwenda wapi... anyway Mungu pekee ndie anayejua ukweli