Ujumbe huu umenishtua kidogo lakini naamini ni ujumbe wa dhati, unabeba ukweli mkubwa sana kuhusu makanisa yanayoibuka hovyo kila siku.
Mchungaji Lusekelo anasema ni afadhali wakristo wa madhehebu ya zamani wabaki kwenye makanisa yao kuliko kukimbilia miujiza kwenye makanisa ya maombezi kwani mengi ni utapeli mtupu!
Nampongeza Mchungaji Lusekelo kwa kuwa mkweli.
file:///var/mobile/Library/SMS/Attachments/85/05/B9E9E771-3C60-4DE2-8EB0-BD296E605D6E/8847b96a-39d4-47c7-b83f-d97c1d114027.MP4
Mchungaji Lusekelo anasema ni afadhali wakristo wa madhehebu ya zamani wabaki kwenye makanisa yao kuliko kukimbilia miujiza kwenye makanisa ya maombezi kwani mengi ni utapeli mtupu!
Nampongeza Mchungaji Lusekelo kwa kuwa mkweli.
file:///var/mobile/Library/SMS/Attachments/85/05/B9E9E771-3C60-4DE2-8EB0-BD296E605D6E/8847b96a-39d4-47c7-b83f-d97c1d114027.MP4