Mto wa mbu
JF-Expert Member
- Aug 8, 2021
- 2,205
- 3,009
Zamani mtu akipangwa ualimu alikuwa anadharauliwa Sana, na kujiona Kama ualimu sio kazi nzuri.
Sahivi kupata kazi ya Mwalimu imekuwa deal kweli kweli, yaani Leo hii shule moja Tanzania inaitaji Mwalimu wa Geography lakini waombaji ni 500+
Vijana omba mungu mtapata,acheni kutoa hela eti mtapewa ajira, acheni kutafuta connection, sahivi Tamisemi wanatenda haki hakuna vya connection Wala Nini.
Lakini kazi mnayo
Sahivi kupata kazi ya Mwalimu imekuwa deal kweli kweli, yaani Leo hii shule moja Tanzania inaitaji Mwalimu wa Geography lakini waombaji ni 500+
Vijana omba mungu mtapata,acheni kutoa hela eti mtapewa ajira, acheni kutafuta connection, sahivi Tamisemi wanatenda haki hakuna vya connection Wala Nini.
Lakini kazi mnayo