Kwa Heri jengo letu

Kwa Heri jengo letu

Mkuu naomba namba zako nimehamishwa kikazi arusha unisaidie kubeba vitu vyangu sio vingi sana.😀😀😀
 
hebu jaribu kuangalia gharama zilizotumika kujenga jengo lenyewe na kiasi cha fedha kinachotumika kulibomoa
huo ubunifu ungegharimu sh ngapi? sema hapo kuna issue ya kisheria mkuu,jengo liko ndani ya hifadhi ya barabara, sheria haiwezi kupindishwa for the sake of gharama, sheria ifuatwe
 
huo ubunifu ungegharimu sh ngapi? sema hapo kuna issue ya kisheria mkuu,jengo liko ndani ya hifadhi ya barabara, sheria haiwezi kupindishwa for the sake of gharama, sheria ifuatwe
64c327c55452935f99b32621e6b59f52.jpg

nchi za wenzetu wanapotaka kufanya jambo huwa hawakibali hasira izidi jambo linalotaka kufanywa ni kodi za watanzania zile.
 
64c327c55452935f99b32621e6b59f52.jpg

nchi za wenzetu wanapotaka kufanya jambo huwa hawakibali hasira izidi jambo linalotaka kufanywa ni kodi za watanzania zile.
mkuu vipi kama gharama ya kujenga hivyo ni kubwa ,may be wakaopt wabomoe, sheria yetu tuliyojitungia wenyewe inasemaje juu ya hilo?
 
mkuu vipi kama gharama ya kujenga hivyo ni kubwa ,may be wakaopt wabomoe, sheria yetu tuliyojitungia wenyewe inasemaje juu ya hilo?
sijafatiria ni kiasi gani kilitumika kujenga jengo lile ila nafatiria kisha nitakuja na data kamili ili tuone kama kuna hasara kiasi gani na ile fly over mpaka kukamilika ita gharimu kiasi gani.
 
sijafatiria ni kiasi gani kilitumika kujenga jengo lile ila nafatiria kisha nitakuja na data kamili ili tuone kama kuna hasara kiasi gani na ile fly over mpaka kukamilika ita gharimu kiasi gani.
kiuhalisia pale ni padogo sana mkuu, kubomoa is inevitable
 
huo ubunifu ungegharimu sh ngapi? sema hapo kuna issue ya kisheria mkuu,jengo liko ndani ya hifadhi ya barabara, sheria haiwezi kupindishwa for the sake of gharama, sheria ifuatwe
Mmepindisha sheria ngapi kwa manufaa binafsi ya lichama lenu la ovyo!?
 
Mmepindisha sheria ngapi kwa manufaa binafsi ya lichama lenu la ovyo!?
mkuu mkiishiwaga hoja mnaanza toka mipovu sasa, nyie nyumbu. sheria sisipofuatwa mnalilia kinyama zikifuatwa mnalilia kinyama nawafananishaga na wachawi hamna jema
 
mkuu mkiishiwaga hoja mnaanza toka mipovu sasa, nyie nyumbu. sheria sisipofuatwa mnalilia kinyama zikifuatwa mnalilia kinyama nawafananishaga na wachawi hamna jema
Hii ndo mmeona ya kufuata nyingine mnazokandamiza siyo sheria?
 
Ashukuru tu yalijengwa vipande vipande,
walau vimebaki viwili;
kwa hali hii acha tu mzee wa watu aandike wosia;
moyo unaweza simama wakati wowote;
 
64c327c55452935f99b32621e6b59f52.jpg

nchi za wenzetu wanapotaka kufanya jambo huwa hawakibali hasira izidi jambo linalotaka kufanywa ni kodi za watanzania zile.
ha ha ha kwahiyo mkuu ulitaka barabara ipate katikati ya yale majengo pale, ua not serious nyumbu, hivi ushaliona hilo jengo la tanesco kwa macho kweli, kajengo kembamba vile unafanansha na hilo. wewe nyumbu go back to school aisee
 
ha ha ha kwahiyo mkuu ulitaka barabara ipate katikati ya yale majengo pale, ua not serious nyumbu, hivi ushaliona hilo jengo la tanesco kwa macho kweli, kajengo kembamba vile unafanansha na hilo. wewe nyumbu go back to school aisee
mkuu unachekesha sana huo ni mfano mojawapo ya ubunifu sasa wewe bila kufikiria umekurupuka hahaaaaaaaaaaaaa tuliza akili kwanza, pale fly over zinaweza pita hata kwa kuliweka lile jengo katika.
 
mkuu unachekesha sana huo ni mfano mojawapo ya ubunifu sasa wewe bila kufikiria umekurupuka hahaaaaaaaaaaaaa tuliza akili kwanza, pale fly over zinaweza pita hata kwa kuliweka lile jengo katika.
hujui kitu wew, nabishana na nyumbu. bora nivunge
 
Back
Top Bottom