ISIS
JF-Expert Member
- Apr 20, 2016
- 96,072
- 858,578
Hahahamkuu hii fuso ulopanda imebeba nini?
Hahahamkuu hii fuso ulopanda imebeba nini?
kila kitu ni hatua awamu ya kwanza tayari,nyingine zinakuja ,roma haikujegwa kwa siku mojahuo mradi wa mwendokasi jamaa wangekuwa siriasi nao ungependezesha sana daslama!!
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] ndio Nimetoka mkoani kuingia daslamu Mkuujamii forum kiboko, kumbe hadi tunamadereva wa mafuso humu, bila shaka atakuwa kamanda wa redbrigade humo kabeba zile bunduki zilizozungushiwa bendera ya chama chao
Sio fuso ni hammer hiyo mkuumkuu hii fuso ulopanda imebeba nini?
Unahisi nani?? Maan ww ni punga kama jina lkla LOWASSA eeh hivi wakati linajengwa nani alikuwa waziri wa
'barabara' hahahaha
'
Aiseeee!!mkuu hii fuso ulopanda imebeba nini?
izoom hiyo side mirror yake unaona hadi bodiSio baby walker Hii Mkuu
Yule waziri aliyesema jengo kabla ya December 31 2017 jengo liwe limemalizika kubomolewa yuko wapi?! [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]