Tetetetetetete
Duh! Nimekuogopa aisee.mkuu hii fuso ulopanda imebeba nini?
huo ubunifu unaohutaka ungekua ni bure? yaani sheria ivunjwe kisa kupisha ubunifu ,daa wanasiktsha sana hawa vijanambaya zaidi wamekosa ubunifu wa kubuni jinsi ya barabara kupita hapo mpaka wabomoe, na kinachokera na kuchukiza ni kutumia 700 million kubomolea jengo yani hasara juu ya hasara.
...shame on you MAGUFURI.
mkuu,huo ubunifu unaohutaka ungekua ni bure? yaani sheria ivunjwe kisa kupisha ubunifu ,daa wanasiktsha sana hawa vijana
rudia ulichokiandika,utakua umesahau mkuumkuu,
yani sijakuelewa ulichoandika kabisa hebu soma tena wewe mwenyewe.
hebu jaribu kuangalia gharama zilizotumika kujenga jengo lenyewe na kiasi cha fedha kinachotumika kulibomoarudia ulichokiandika,utakua umesahau mkuu
nalaila kihulala lowasssa eeh hivi wakati linajengwa nani alikuwa waziri wa
'barabara' hahahaha
'
mbaya zaidi wamekosa ubunifu wa kubuni jinsi ya barabara kupita hapo mpaka wabomoe, na kinachokera na kuchukiza ni kutumia 700 million kubomolea jengo yani hasara juu ya hasara.
...shame on you MAGUFURI.



