Kwa heri CCM

Kwa heri CCM

Acheni kuchafua thread yangu. Kama hujisikii kunipongeza unaweza ukanipotezea tu. Isiwe tabu

haya wewe unayetaka kupongezwa.
hongera sana Mwita25
Nuru imekufikia
Umeonesha kukomaa kiakili, kwani akili yako imeanza kufikiri.
Good Job Mwita25
 
Yupo katika jukwaa la danganya toto kula kande mbichi

Sina haja ya kubishana na mtu ambaye hajui hata ofisi za makao makuu ya Chadema zilipo. We ni aina ya mavuvuzela wanaofuata mkumbo tu.
 
haya wewe unayetaka kupongezwa.
hongera sana Mwita25
Nuru imekufikia
Umeonesha kukomaa kiakili, kwani akili yako imeanza kufikiri.
Good Job Mwita25

Asante mkuu, hakuna kulala mpaka kieleweke. CCM and its avaricious leaders must be subverted if we are to retain the country's unity.
 
Kwako Invisible!

Usiku wa kuamkia leo niliamshwa na haja ndogo, na kama kawaida nilikimbilia chooni. Wakati narudi kitandani niligugundua kuwa sina magamba yangu. Looh! Nilistaajabu sana, lakini wakati naendendelea kutafakari niliona gamba moja lipo karibu na ukutani.

Kutahamaki kumbe yote yalikuwa yamechomoka. Nilipojaribu kuyaruridishia, yakawa madogo kuliko mwili wangu, yaani yamenikataa. Huu ukawa mwanzo wa kukatalaliwa na CCM. Sikustaajabu kwa sababu CCM amewakataa watu wengi sana.

Infact, anajikataa hata yeye mwenyewe. Sina maneno mazuri ya kujieleza zaidi ya kusema kuwa ndoa yangu na CCM imeisha leo. Hizi taarifa haziwezi kuingia kwenye kichwa cha Nape, kada nambari moja asiyejua kazi yake zaidi ya kulazimisha watu tuipiganie CCM kwa nguvu zote tena sehemu yoyote.

Taarifa ni chungu zaidi kwa Mwenyekiti wa UVCCM, Dodoma ambaye kucha kutwa anatuma vivocha kwa wanafunzi wa UDOM ili, eti waipiganie CCM! Kwa lipi hasa? Chama ambacho hata Mwenyekiti wake mstaafu anapangiwa maneno ya kuongea jukwaani! Chama ambacho kiko tayari kuua ili kipate kura moja?!

Hiki ndiyo chama kilichoshika hatamu Tanzania! Sina maneno mengi ila kusema kuwa umbumbumbu wangu umefika kikomo. Gamba limeng'ang'ania kwenye godoro na sasa najisikia mwepesi saaaaaana kiasi cha kujuta kwa nini nimeteseka muda wote huo kula chakula cha simba ambaye mwisho wa siku anataka anitafune?

Nimeteseka sana, nimenyanyasika sana na nimehuzunika sana na sasa NAACHIA NGAZI.

People's Power!
Tunakupa Probation period ya week mbili ndipo ukaribishwe rasmi.
 
Dedication kwa Mwita25;
Sikiliza KIGEUGEU by Jaguar
 
Acha mikwara hata ukimbiwa na mke wako ghafla lazima uchanganyikiwe kidogo natumaini utatulia tu baada ya Mwita25 kumwaga masiri yenu hapa jamvini. Mla mla leo bana mla jana kala nini!
Kamwaga siri gani? Who is Mwita25! The guy knowz nothing! Anabwabwaja tu..
 
Hata topical ni huyohuyo. Na hiyo atiwm 52 ni the sawe name but reversed! Angalia vzuri!

Mungu amewapa binadamu vichwa kwa ajili ya kufikiri. Lakini hakuna adhabu yoyote anayoitoa kwa watu wanaoamua kutumia masaburi kufikiri. Kwahiyo jimwagemwage tu na masaburi yako.
 
Mwita25.
Piipoozzz poowerr!! Mpaka kieleweke!
 
Yekhe Mura, this is truly a redemption for you! Admittedly you were a nuisance into posts contribution such that you always made my heart sink.
With your decision my weekend gonna be so nice..... nitaanza mapema kupta kilaji.
Congratulations.
 
Mwita25.
Piipoozzz poowerr!! Mpaka kieleweke!

Huna muda mrefu mkuu utakuwa upande wetu. Hivi slogan ya magamba ni ipi vile? Au bado mnaimba ''oooh Tanu yajenga nchi''
 
JK nasema siyo mtu mbaya, ni rais makini mwenye lengo la kusaidia watu, siyo fisadi, ila anaongoza genge la mafisadi!! na waongo wanaomdanganya kila kukicha (mfano issue ya ambulance, gari kuzimika, kuendesha siasa za kidini ilhali yeye alikemea siku ya Idd n.k), njia sahihi ni kuikana CCM kama alivyofanya Mwita, basi nchi hii itafika kwenye neema, ingawa elimu pia inatakiwa itolewe kwa wapiga kura juu ya buku tano na buku wanazopewa ili waikumbatie CCM
 
Huna muda mrefu mkuu utakuwa upande wetu. Hivi slogan ya magamba ni ipi vile? Au bado mnaimba ''oooh Tanu yajenga nchi''

Unaona sasa kumbe hata Ritz ujui msimamo wake!
Magamba na Magwanda wote wizi tu.
Ha! Ha! Ha! Ha!
 
Unaona sasa kumbe hata Ritz ujui msimamo wake!
Magamba na Magwanda wote wizi tu.
Ha! Ha! Ha! Ha!

hacha uboya wewe! We Magamba unajifanya uvuguvugu wakati sisi tunajua kama wewe ni either wa baridi au wamoto..
 
Back
Top Bottom