Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 118,225
- 219,400
Ni dhahiri kwamba yanayoendelea Nchini Tanzania kwa sasa yanaiinua Jumuiya ya Kimataifa kuitupia macho nchi hii, Ubambikizaji wa kesi za uongo za Uhaini kwa wazalendo wapigania Mali za Nchi umefika kwa wafadhili wa nchi ambao wamekwisha jiridhisha kwamba kesi hizi ni kwa ajili ya kuwalinda Waarabu.
Kwa kadri ya macho yangu, Uchumi wa Tanzania kwa sasa UMEKUFA, hakuna mzunguko wa hela, dola imepanda na hata maisha ni ghali sana kutokana na Mfumuko wa bei, hali inatisha kwenye soko la Kariakoo, biashara zote zimeanguka kabisa.
Sasa kwa hali hii ikiwa Wazungu na watoa hela wengine wakitupuuza kutokana na huu ukamataji wa kijinga wa wale waliotushinda kwa hoja, sina wasiwasi wabongo wataanza kula nyasi, hofu kubwa ni kuhusu Wakati wa kiangazi, je watakula nini?
Kwa kadri ya macho yangu, Uchumi wa Tanzania kwa sasa UMEKUFA, hakuna mzunguko wa hela, dola imepanda na hata maisha ni ghali sana kutokana na Mfumuko wa bei, hali inatisha kwenye soko la Kariakoo, biashara zote zimeanguka kabisa.
Sasa kwa hali hii ikiwa Wazungu na watoa hela wengine wakitupuuza kutokana na huu ukamataji wa kijinga wa wale waliotushinda kwa hoja, sina wasiwasi wabongo wataanza kula nyasi, hofu kubwa ni kuhusu Wakati wa kiangazi, je watakula nini?