Mshiriki namba 6, Pendo Sam alizomewa alipokuwa anajibu swali lililomtaka aseme ni sifa gani za kiongozi anayemtaka kuwa Rais wa Tanzania.
Pendo, alijitahidi kueleza sifa kulingana na kiwango chake cha ufahamu lakini alipoanza kumpigia debe Rais Jakaya Kikwete alikiona pale hadhira ilipomgeuka na kumzomea kwamba pale hapakuwa mahali pake.
Pendo, alijitahidi kueleza sifa kulingana na kiwango chake cha ufahamu lakini alipoanza kumpigia debe Rais Jakaya Kikwete alikiona pale hadhira ilipomgeuka na kumzomea kwamba pale hapakuwa mahali pake.