Usije msababisha jamaa akaliwa elfu 10 yake...maana umemwambia kuna mechi uamuzi wake utakuwa na matatizo!!!Niko online muda wote nisipojibu kwa wakati labda nitakua naanda mavazi ya kesho kazini, lakini najua saa tatu nitakua free.
Hahahahaha we jamaa una vituko sanaKwa vile una bachala ya Europe lazima wewe ni jinias
Tulia kaka,nitaleta mrejeshoUsije msababisha jamaa akaliwa elfu 10 yake...maana umemwambia kuna mechi uamuzi wake utakuwa na matatizo!!!
Kuna sababu gani ku quote uzi mrefu halafu unaandika maneno mawili!Ok sawa.
Seit 2011 und ich mache hier viel aktivitaten...Wie lange bist du schon in Arusha und was machst du als Arbeit?
Wewe umeongea point sana jamaa kweli kama ana hizo attributes aweke contact sana sana unofficial email ili watu wa system wa verify na kumchukua, Watu wanasoma physiology years na badoNakushauri fanya mpango uingie taasisi ya usalama wa taifa. Itakufaa sana kwa uwezo wako huo. Ulisaidie taifa letu kwa kukabiliana na uncertainties na majanga yanayoangamiza taifa hili.
Acha kazi hiyo uliyonayo. Jiunge jkt zen uingie TISS iwe ndiyo career yako.
Usichelewe
hahaha ata mimi nimeona bachala yake atakua genious huyuKwa vile una bachala ya Europe lazima wewe ni jinias
atusaidie kwakweli kumbe tuna resource hatuzitumiiUnamaana Unajua ni nani alimshambilia Tundu Lissu.??
Maana yake ukimuona mtu unajua anawaza nini.?
Tusaidie mkuu