Wewe nakushauri uende USA kuishi huko utapata kazi nzuri inayolingana na kipaji chako na utapata mshahara mzuri,hapa TZ unapoteza muda wako bure.Ukiwa huko tukumbuke sisi watanzania wenzako kwa kuja kututembelea wakati wa likizo,kwani nahisi watakupa uraia kabisa.