habari ya hapa
JF-Expert Member
- Dec 20, 2012
- 12,791
- 8,739
Inatisha aisee! Ifikapo mwaka 2050, Bunge litapitisha sheria kwamba anayepinga ushoga na usagaji atahukumiwa kifungo kisichopungua miaka 10.! Sasa hivi naona kama vile mazoezi makali yanafanywa ili watu wazoee ushoga na usagaji na kuacha kuupinga!View attachment 124933Hawa hapa ni wapenzi wamefumaniwa
View attachment 124934Hawa nao ni mtu na mpenzi wake
View attachment 124935Hali kadhalika hawa nao ni mtu na mkewe
Hadi naogopa mwenzenu sjui ndugu zao na marafiki zao wanajisikiaje wanawaona watu wao wanafanya hivi
mungu aniepushie mbali mimi na kizazi changu.....
Inatisha aisee! Ifikapo mwaka 2050, Bunge litapitisha sheria kwamba anayepinga ushoga na usagaji atahukumiwa kifungo kisichopungua miaka 10.! Sasa hivi naona kama vile mazoezi makali yanafanywa ili watu wazoee ushoga na usagaji!
Si kuhalalishwa tu habari ya hapa. Itafanywa compulsory!Mkuu unasema kweli na huko tuendako itahalalishwa tu japo sasa hiv wanajidai wanasitasita
me nawazaga sana wallah hivi wanawake huwa wanaenjoy vipi nahisi nina maswali mengi kuzid majibu
Mungu aliyeumba ME na KE alikuwa na yake nia sasa watu wanahalalisha visivyo halali
natamani yule dada actress wa Bongo anipe ufafanuzi
The Vatican sends questionnaire on gay sex and contraception to Catholics around the world
- 38-question survey is available online in England and Wales
- Pope Francis said Vatican needs to tone down its strict teachings on family
- Feedback will help Vatican prepare for the Synod of Bishops
By Hannah Roberts In Rome
PUBLISHED: 15:01 GMT, 5 November 2013 | UPDATED: 18:08 GMT, 5 November 2013
The Catholic Church is seeking the opinions of ordinary people on gay unions, contraception and sex before marriage, in an extraordinary bid to become more ‘credible'.
A questionnaire has been sent from the Vatican polling lay parishioners as well as bishops and theologians on its teachings on all issues affecting families and relationships including divorce and single parent families.
The 38-question survey, which comes ahead of a meeting of the Synod on the Family in 2014, is the first time that the church has asked these questions of ordinary people since the 1960s.
'Strict' Pope Francis said the Vatican needs to tone down its strict teachings on the family
Catholic Church of England and Wales has already set up an online survey to make it easier for parishioners to give their opinions.
The questionnaire asks whether the Catholic teachings on marriage and the family ‘are widely known' and ‘to what extent they are actually known, accepted, rejected and/or criticised in areas outside the Church.'
Pope Francis has already said the Vatican needs to tone down its strict teachings on the family. If the church continues ‘to obsess' about issues such as divorce and abortion it ‘risks falling like a house of cards', he said in September.
A letter from Archbishop Lorenzo Baldisseri, Secretary General of the Synod, accompanying the questionnaire, was sent to bishops in every continent asking for them to distribute the poll "immediately as widely as possible to deaneries and parishes so that input from local sources can be received." Answers need to be returned by the end of January.
The feedback will help civil servants inside the Vatican prepare for the Synod of Bishops in October 2014. The theme of the meeting will be 'The Pastoral Challenges of the Family in the Context of Evangelisation'.
An accompanying document sent out with the questionnaire said that Pope Francis is concerned with issues 'unheard of until a few years ago,' such as the 'widespread practice of cohabitation, which does not lead to marriage and sometimes even excludes the very idea of it, same-sex unions between persons who are, not infrequently, permitted to adopt children' and 'a culture of non-commitment.'
Questionnaire: The Vatican has sent out the survey to all parishioners as well as bishops and theologians
Also to be addressed will be 'forms of feminism hostile to the Church,' 'single-parent wombs for hire and new interpretations of what is considered a human right.'
The document notes that even within the Church, 'faith in the sacramentality of marriage and the healing power of the confession show signs of weakness or total abandonment'.
The move has already been welcomed by some as 'an outstretched hand' to dissidents.
Chicago's archbishop Cardinal Francis George, said: 'The Vatican under Pope Francis seems to be offering an outstretched hand to the people of the church, but even more so, the Vatican is encouraging the bishops to be listeners to the voice of the people.'
SOURCE:Home | Mail Online
More...
- Could this married feminist be the Catholic Church's first woman cardinal? Rumours rife that reforming Pope Francis is preparing to break with 900 years of history
- Did the NSA even snoop on the POPE? U.S. spies accused of intercepting phone calls during conclave as he was elected head of Catholic church
kama huku ndio tunapoelekea, adhabu ya Mwenyezi Mungu haiko mbali.
Inatisha aisee! Ifikapo mwaka 2050, Bunge litapitisha sheria kwamba anayepinga ushoga na usagaji atahukumiwa kifungo kisichopungua miaka 10.! Sasa hivi naona kama vile mazoezi makali yanafanywa ili watu wazoee ushoga na usagaji na kuacha kuupinga!
mungu aniepushie mbali mimi na kizazi changu.....
Mkuu heshima kwako hata me ndio sala yangu kila uchao, mungu anilinde na familia yangu na huu upuuzi unaotetewa na hii kitu inaitwa haki za binadamu nachukia sana
Kwhyo hawa hapa nani ni mume??