Hivi wanawake shida ni nini lakini?

Unique Flower

JF-Expert Member
Apr 19, 2019
12,714
24,891
Watu wanasema hatuolewi haolewi kumbe vijitu vichawi balaa. Utaolewa na nani boma gani lichukue shida hapa mjini.

Naishi na wanawake wenzangu hapa nilipo ila vitu wanavyofanya ndio maana hawaolewi.

Mtu akipika wali anachukua mkojo wake kidogo anachanganya anaweka jikoni. Hapo yeye hali. Ni mpenzi wake.

Usiku ukilala anakuja kukulogea nguo zako za ndani usizae. Anachukua nyayo, sura, hata makalio anaenda kupatia mabwana na kazi, hadi sauti yako, yaani hii ni shughuli.

Mtu anachukua hadi damu na yai lako anazaa mtoto wake bahati zako na nyota acha tu keroo wanapigania maisha yako kama yao ukiwajua wananuna ukiuza hata kiwanja wanaenda kukufungia ili majaa zao wawaone wao ndio wapo juu.

Na tabia nyingi wanazifanya kama wapo huku, acheni, kaeni na riziki zenu jamani. Mnaboa eti.

Wenzenu wanachelewa kufanya yao kwa ajili yenu. Mnamtoa damu mwenzenu ili mkawangie damu ya mwenzenu ndio imekuwa mafuta ya kuendea kuloga watu wengine.
 
Watu wanasema hatuolewi haolewi kumbe vijitu vichawi balaa. Utaolewa nanani boma gani lichukue shida hapa mjini.

Naishi na wanadada wenzangu hapa nilipo ila vitu wanavyofanya ndio maana hawaolewi.

Mtu akipika wali anachukua mkojo wake kidogo anachanganya anaweka jikoni. Hapo yeye hali. Ni mpenzi wake.

Usiku ukilala anakuja kukulogea nguo zako za ndani usizae.

Anachukua nyayo sura hata matako anaenda kupatia mabwana na kazi .

Hadi sauti yako yaani hii ni shughuli mtu anachukua hadi damu na yai lako anazaa mtoto wake bahati zako na nyota acha tu keroo wanapigania maisha yako kama yao ukiwajua wananuna ukiuza hata kiwanja wanaenda kukufungia ili majaa zao wawaone wao ndio wapo juu.

Natabia nyingi wanazifanya kama wapo huku acheni kaeni nariziki zenu jamani. Mnaboa eti.

Wenzenu wanachelewa kufanya yao kwa ajili yenu. Mnamtoa damu mwenzenu ili mkawangie damu ya mwenzenu ndio imekuwa mafuta ya kuendea kuloga watu wengine.
Mtu akipika wali anachukua mkojo wake kidogo anachanganya anaweka jikoni. Hapo yeye hali. Ni mpenzi wake.

Anachukua nyayo sura hata matako anaenda kupatia mabwana na kazi


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Watu wanasema hatuolewi haolewi kumbe vijitu vichawi balaa. Utaolewa nanani boma gani lichukue shida hapa mjini.

Naishi na wanadada wenzangu hapa nilipo ila vitu wanavyofanya ndio maana hawaolewi.

Mtu akipika wali anachukua mkojo wake kidogo anachanganya anaweka jikoni. Hapo yeye hali. Ni mpenzi wake.

Usiku ukilala anakuja kukulogea nguo zako za ndani usizae.

Anachukua nyayo sura hata matako anaenda kupatia mabwana na kazi .

Hadi sauti yako yaani hii ni shughuli mtu anachukua hadi damu na yai lako anazaa mtoto wake bahati zako na nyota acha tu keroo wanapigania maisha yako kama yao ukiwajua wananuna ukiuza hata kiwanja wanaenda kukufungia ili majaa zao wawaone wao ndio wapo juu.

Natabia nyingi wanazifanya kama wapo huku acheni kaeni nariziki zenu jamani. Mnaboa eti.

Wenzenu wanachelewa kufanya yao kwa ajili yenu. Mnamtoa damu mwenzenu ili mkawangie damu ya mwenzenu ndio imekuwa mafuta ya kuendea kuloga watu wengine.
Ke ni Israel mtoa roho 99% kwa Me isipokuwa 1% ni majanga mengine kama uchawi, wizi, ujambazi, dhuluma, magonjwa, ajali n.k.

Ubinadamu ni kazi/Humanity is a work.

Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
 
Watu wanasema hatuolewi haolewi kumbe vijitu vichawi balaa. Utaolewa nanani boma gani lichukue shida hapa mjini.

Naishi na wanadada wenzangu hapa nilipo ila vitu wanavyofanya ndio maana hawaolewi.

Mtu akipika wali anachukua mkojo wake kidogo anachanganya anaweka jikoni. Hapo yeye hali. Ni mpenzi wake.

Usiku ukilala anakuja kukulogea nguo zako za ndani usizae.

Anachukua nyayo sura hata matako anaenda kupatia mabwana na kazi .

Hadi sauti yako yaani hii ni shughuli mtu anachukua hadi damu na yai lako anazaa mtoto wake bahati zako na nyota acha tu keroo wanapigania maisha yako kama yao ukiwajua wananuna ukiuza hata kiwanja wanaenda kukufungia ili majaa zao wawaone wao ndio wapo juu.

Natabia nyingi wanazifanya kama wapo huku acheni kaeni nariziki zenu jamani. Mnaboa eti.

Wenzenu wanachelewa kufanya yao kwa ajili yenu. Mnamtoa damu mwenzenu ili mkawangie damu ya mwenzenu ndio imekuwa mafuta ya kuendea kuloga watu wengine.
Na siku hizi wadada wanajiuza mno, sijui tutaoa akina nani

Wachawi nyie, uchoyo wenu, roho mbaya mnazo, ubinafsi ndio rangi yenu, mnagawa utelezi hovyo... Sioni kama naweza kuoa
 
Watu wanasema hatuolewi haolewi kumbe vijitu vichawi balaa. Utaolewa nanani boma gani lichukue shida hapa mjini.

Naishi na wanadada wenzangu hapa nilipo ila vitu wanavyofanya ndio maana hawaolewi.

Mtu akipika wali anachukua mkojo wake kidogo anachanganya anaweka jikoni. Hapo yeye hali. Ni mpenzi wake.

Usiku ukilala anakuja kukulogea nguo zako za ndani usizae.

Anachukua nyayo sura hata matako anaenda kupatia mabwana na kazi .

Hadi sauti yako yaani hii ni shughuli mtu anachukua hadi damu na yai lako anazaa mtoto wake bahati zako na nyota acha tu keroo wanapigania maisha yako kama yao ukiwajua wananuna ukiuza hata kiwanja wanaenda kukufungia ili majaa zao wawaone wao ndio wapo juu.

Natabia nyingi wanazifanya kama wapo huku acheni kaeni nariziki zenu jamani. Mnaboa eti.

Wenzenu wanachelewa kufanya yao kwa ajili yenu. Mnamtoa damu mwenzenu ili mkawangie damu ya mwenzenu ndio imekuwa mafuta ya kuendea kuloga watu wengine.
Unique Flowers akiwa kwenye harakati kumfanya Mzabzab kuwa zezeta la mahaba....
JamiiForums233507543.jpg
JamiiForums-1844625321.jpg


Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom