unathink in a negative way ,yaani unatry to act victim kumbuka you are responsible for everything in you and solution will come from you ,mimi naacha kazi nilikuwa na laki 5 tuuu na ilitokana na kuugua kurudi bushi na raki tano zangu nikajikuta ni don kjjn naweza thro laki kulimisha watu hata ekari 5,unataka kusema huwez tafuta 5 kwell ,mkono mtupu haulambwi,tatizo unataka utoke chuo uwe director u must nill down to the mudd you wake up with diamond,ningesema nina uza vitu graduate waniuzie ungesapot hujui hiyo yampasa mmachinga
amesema yeye wakati anaacha kazi alikuwa na laki tano. Sababu iliyomfanya aache kazi ni kuugua. Hajasema laki 5 alizipataje ila kwasbb alikuwa kazini tunajua zilitokana na mshahara.
Huko bush alikuwa analilimisha watu ekari 5 kwa laki moja that means kila ekari moja ni elf 20. Tumejifunza kuwa mafanikio yake yametokana na unyonyaji aliouwafanya kwa wakulima, mtaji wake ulitokana na kazi aliyokuwa anafanya.
Nafikiri thread yake ingelenga graduates ambao wameshapata kazi wasijibweteke na kutegemea mshahara tu, wafanye kazi ila wakumbuke kuwekeza na kwenye kilimo kwa kipato zaidi.
Husna una akili sana mpenzi
hiyo ni name calling, usirudie tena. Ahsante.
= kabisamkuu mtaji hata wa mil5 watu wangejiajiri, tatizo hata mahali pakuishi wengine hawana, leo akila kwa aunt, kesho kwa mjomba, keshokutwa kwa masela, watu wanasafa wewe unaongelea mitaji?
Asalam aleikhum waungwana ! leo The only naona nibadilishane nanyi juu ya hili.
Ni wazi hali ya ajira kwa sasa ni ngumu unaweza tuma barua 100 usijibiwe hata moja na ukijibiwa ni kukushukuru kwa kuomba na kukupotezea kulinda reputation yao ,kwa hili mwenzenu nina ushauri tofauti.
mimi naona kilimo ndo iwe focus yenu sisemi muwe wakulima mazima ila naamini graduate angepata mtaji wa warau 10 million anaweza kujipanga akatumi taaluma yake kujiajiri na after miaka 10 akawa milionea mwenye mchango mkuu kwa familia,ndoa,jamii na taifa kwa ujumla.
Mfano ukilima tangawizi gharama yake ni 1.5 kwa ekar at maxmum ila ata minimum mavuno ni tani 6000x1500=milion 9 tayari unaweza kulipia eneo mwaka ukaanzisha biashara ,au ukipanda miti ekari nzima kwa mbeya iringa
mchanganuo
Kununua ekari 5 200000
kulima na kupanda 100000
miti 2000@500 100000
uasafiri ,accomodatin fro DAR 200000
other 200000
Total capital 800000
Sales 2000@30000 60000000(mil 60) hii ni current price na ina appreciate ndani ya miaka minne tuu.
AIDHA MIMI NAEONGE NILIWAHI KUAJIRIWA BENKI NIKALIMA NDO KUVUNA NIKARESIGN TENA 24 HRS NA HATA PPF SIJAENDA KUCHUKUA MAFAO.
Tatizo letu tuna husisha utozi na usomi ,hakuna sheria kuwa eti msomi lazima avae tai huo ni upuuzi sisi ni nchi masikini tukumae.
amesema yeye wakati anaacha kazi alikuwa na laki tano. Sababu iliyomfanya aache kazi ni kuugua. Hajasema laki 5 alizipataje ila kwasbb alikuwa kazini tunajua zilitokana na mshahara.
Huko bush alikuwa analilimisha watu ekari 5 kwa laki moja that means kila ekari moja ni elf 20. Tumejifunza kuwa mafanikio yake yametokana na unyonyaji aliouwafanya kwa wakulima, mtaji wake ulitokana na kazi aliyokuwa anafanya.
Nafikiri thread yake ingelenga graduates ambao wameshapata kazi wasijibweteke na kutegemea mshahara tu, wafanye kazi ila wakumbuke kuwekeza na kwenye kilimo kwa kipato zaidi.
amesema yeye wakati anaacha kazi alikuwa na laki tano. Sababu iliyomfanya aache kazi ni kuugua. Hajasema laki 5 alizipataje ila kwasbb alikuwa kazini tunajua zilitokana na mshahara.
Huko bush alikuwa analilimisha watu ekari 5 kwa laki moja that means kila ekari moja ni elf 20. Tumejifunza kuwa mafanikio yake yametokana na unyonyaji aliouwafanya kwa wakulima, mtaji wake ulitokana na kazi aliyokuwa anafanya.
Nafikiri thread yake ingelenga graduates ambao wameshapata kazi wasijibweteke na kutegemea mshahara tu, wafanye kazi ila wakumbuke kuwekeza na kwenye kilimo kwa kipato zaidi.
amesema yeye wakati anaacha kazi alikuwa na laki tano. Sababu iliyomfanya aache kazi ni kuugua. Hajasema laki 5 alizipataje ila kwasbb alikuwa kazini tunajua zilitokana na mshahara.
Huko bush alikuwa analilimisha watu ekari 5 kwa laki moja that means kila ekari moja ni elf 20. Tumejifunza kuwa mafanikio yake yametokana na unyonyaji aliouwafanya kwa wakulima, mtaji wake ulitokana na kazi aliyokuwa anafanya.
Nafikiri thread yake ingelenga graduates ambao wameshapata kazi wasijibweteke na kutegemea mshahara tu, wafanye kazi ila wakumbuke kuwekeza na kwenye kilimo kwa kipato zaidi.
dahh jamani hii nadhani inaendana na mimi
mi ndo nimemaliza hv sasa na hata matokeo bado kwahiyo hata hiyo ajira bado ni ndoto ila nimekuwa niiktumia fani yangu kufanya kazi kwa watu na sasa nina mil 5 na nimeshindwa nifanye shughuli gani jamani na imekaaa tu kwani hela ya kula napata.
nahitaji kufanya hiyo kazi jamani na wiki ijayo nitakuwa nimelipwa zingine zitakuwa 7m,sasa huu mtaji sijui nifanye nini?
naomba msaada wako juu ya hilo dili ili niangalie km naweza fanya au nichunguze inshu zingine
uliwahi kuajiriwa. ukafanya saving, ukawa na access na mikopo.....vyovyote vile lakini b'dae ndio ukapata mtaji wa kulima. Sasa hao mafresh from school watatoa wapi capital? Ushauri wako bado hautowasaidia.
Husna una akili sana mpenzi
hujapigwa ww eh?
u are a person i can talk u think systematicallyamesema yeye wakati anaacha kazi alikuwa na laki tano. Sababu iliyomfanya aache kazi ni kuugua. Hajasema laki 5 alizipataje ila kwasbb alikuwa kazini tunajua zilitokana na mshahara.
Huko bush alikuwa analilimisha watu ekari 5 kwa laki moja that means kila ekari moja ni elf 20. Tumejifunza kuwa mafanikio yake yametokana na unyonyaji aliouwafanya kwa wakulima, mtaji wake ulitokana na kazi aliyokuwa anafanya.
Nafikiri thread yake ingelenga graduates ambao wameshapata kazi wasijibweteke na kutegemea mshahara tu, wafanye kazi ila wakumbuke kuwekeza na kwenye kilimo kwa kipato zaidi.