Mpaka 2.7 ndio minimum
kuna baadh ya vyuo kama tia unapata ila kuna coz ya miez kama mi3 kama skosei inaitwa pre entry ni lazma upge na unafanya mtihan uki qualify unasoma dgree.
we ulikuwa unacheza au....degree ukipata uache utoz ukasome...jipime kabisa usije poteza ada yako bure
Kuna baadh ya vyuo kama tia unapata ila kuna coz ya miez kama mi3 kama skosei inaitwa pre entry ni lazma upge na unafanya mtihan uki qualify unasoma dgree.
Da hiko chini sana kwakweli..ngoja waje
Mkuu hukua na haja ya kunilaumu hujui nimesoma ktk mazingira gani hongera kwako ulifaulu vzuri
mi sikulaumu ndugu...sorry kwa kutumia lugha kali...please fuata ushauri uliopewa then next soma kwa bidii...suala la kufaulu halina excuses ....i believe utapata kupitia pre entry...lakini chukulia kama unaenda kufanya maisha....nakutakia elimu njema ndugu..wala usikate tamaa....life is history......again am sorry
Ni mhitimu wa stashsahada ya Financial Management, nina GPA ya 2.30. Natamani kuendelea na degree, je, nitapata chuo kwa alama hizo?
ningekushauri uchonge cheti feki cha degree but kwa hiyo gpa yaki lazima utashtukiwa
mkuu hapo lazima ukasome kwanza pre entry miezi kadhaa then utakua na uwezo wa kusoma degree