Kwa GPA hii ntapata chuo kweli?

Kwa GPA hii ntapata chuo kweli?

Usijal ndugu fuatilia ushauri uliopewa mwakani ujiunge degree. Nitakukumbuka katika sala japo sikujui ili uwe na mazingira huru ya kusoma yatakayowezesha ufaulu wako kuwa mzuri.

Thanx sana dear Mungu akubarike dada
 
Usijal ndugu fuatilia ushauri uliopewa mwakani ujiunge degree. Nitakukumbuka katika sala japo sikujui ili uwe na mazingira huru ya kusoma yatakayowezesha ufaulu wako kuwa mzuri.

Niombee na mie
 
Back
Top Bottom