Tayana-wog
JF-Expert Member
- Feb 26, 2012
- 28,849
- 37,555
Sio rahisiunafanya yote hayo na wahuni wanaichapa tu watakavyo
Sio rahisiunafanya yote hayo na wahuni wanaichapa tu watakavyo
🤔🤔Mke NI kwa ajili ya kuzaa Tu watoto na kukupatia familia
Mbona vitu vya kawaida tu hivyohaya ni maisha ya kitamthilia, huwezi mantain hiyo lifestyle, labda uwe ni muigizaji nguli
Halafu wengi wanaodai hivi ukimkuta na mkewe , hapindui kitu
Kweli kabisa,wapoleHalafu wengi wanaodai hivi ukimkuta na mkewe , hapindui kitu
Wakifika nyumbani wanashusha mkia chini , kama mbwa koko , kuna mmoja tulikua nae ulevini , anajifanya kidume mara mwanamke hamwambii kitu akikaribia na nyumani anatafuna majani ili apotezee ushahidi kuwa alikua ulevini🚮Kweli kabisa,wapole
HahhahaUkipapasa makalio yake kila kitu kitakuwa sawa
HahahahaHuyu nipewe mimi huyu
Wewe tenaa ! 🌚Huyu nipewe mimi huyu
Ukweli usio na shakaSio rahisi
Kichwa changu kina mambo mengi nawaza hali mbaya ya uchumi, madeni, mikopo kharamu kama Kausha damu, Songesha, tozo pasua kichwa, Kodi za nyumba, marejesho, ada za watoto, deni la taifa na kadhalika!
Yaani afanyiwe hayo atoke nje no noUkweli usio na shaka
😅😅Wakifika nyumbani wanashusha mkia chini , kama mbwa koko , kuna mmoja tulikua nae ulevini , anajifanya kidume mara mwanamke hamwambii kitu akikaribia na nyumani anatafuna majani ili apotezee ushahidi kuwa alikua ulevini🚮
Tabia ni kama ngozi unajuaYaani afanyiwe hayo atoke nje no no
Huyo anakua hakukuelewa Toka mwanzo