Kwa Gavana tuliyenaye, sikushangaa nilipoona habari ya shilingi ya Tanzania kufanya vibaya zaidi Duniani

Kwa Gavana tuliyenaye, sikushangaa nilipoona habari ya shilingi ya Tanzania kufanya vibaya zaidi Duniani

Ndo mtegemee ufanisi kwnye mashirika ya umma? Hasara tu left and right kila siku
 
kutumia zanafedha (monetary tools and financial instruments) duni ya enzi za mawe yaani VICOBA badala ya SMEs, bonds, green bonds

Inside INFF: Experience from Tanzania Ministry of Finance


View: https://m.youtube.com/watch?v=ZXsnom3eta8

Dr. Charles A. Mwamwaja, Commissioner for Financial Sector Development of the Ministry of Finance in Tanzania, shares the Tanzanian government's goals in implementing an integrated approach to financing; the measures the Government has taken to facilitate the participation of different stakeholders, including the private sector, in bridging the financing gap; lessons learned, challenges and recommendations to other countries.
Dr. Charles A. Mwamwaja : profile /
Qualification

  1. PhD (Finance)
  2. Master in Business Administration (MBA) (Finance & Banking)
  3. Postgraduate Diploma in Finance Management (PGDFM)
  4. Advanced Diploma in Accountancy (ADA)


Experience

  1. Commissioner Financial Sector Development, Ministry of Finance
  2. Board Member for SUA Council and Chairperson of SUA Audit Committee for 3 years
  3. Board Member for Mzumbe University Council and Chairperson of Finance and Development Committee for 6 years
 
Naskia hali ya uchumi hapa bongo inaendelea kwenda shimoni. Ni vurugu me hi hadi wanatoa matangazo kila siku
 
Mteuzi wake naye ana elimu ya hapa na pale. Hii nchi inapenda sana watu wenye elimu za kuunga unga.
Sasa wale ama wale wenye elimu kamili unaowashabikia wamefanya nini? Magufuli alikuwa na PhD ya kukariri alifanya nini? Au kurukaruka hapa na pale kama swala na kufokafoka ndo mliona ni kiongozi mzuri? Kaiba trillion 30 halafu eti shujaa, shujaa mafii yenu?

Etwege Mbaga Jr

Nyau de adriz
 
Mzee Mtei alimgomea Nyerere alivyoleta ujuaji kwenye masuala ya Uchumi. Na Nyerere alivyoleta kiburi, Mzee mtei alijiuzuru na kumuacha ateue Gavana mwingine.

Sote tunajua leo kuwa sababu ya Tanzania kufeli kiuchumi kipindi cha Nyerere ni baada ya Nyerere kukataa kuchukua ushauri wa Mzee Mtei ambaye ndo huyo baadae alikuja kuanzisha Chadema.
Kama ushauri aliotaka kutoa ndo source ya kuzaliwa CHADEMA basi spiritually CHADEMA siku ikichukua madaraka pengine nchi yetu itasonga mbele hatua kadhaa.
 
Sasa wale ama wale wenye elimu kamili unaowashabikia wamefanya nini? Magufuli alikuwa na PhD ya kukariri alifanya nini? Au kurukaruka hapa na pale kama swala na kufokafoka ndo mliona ni kiongozi mzuri? Kaiba trillion 30 halafu eti shujaa, shujaa mafii yenu?

Etwege Mbaga Jr

Nyau de adriz
Tupe ushaidi wa hizo pesa unazosema aliiba hili na sisi tuanze kumchukia kama wewe.

Na pia siku nyingine usipende kuhalalisha uzembe au ujinga au udhaifu kwa kumtaja mtu mwingine mwenye ujinga sawa na huo unaojaribu kuutetea.

Kwa hii comment yako unachotaka kusema kuwa ni sahihi kuongozwa na vilaza wenye elimu za hapa na pale, eti kwa vile tu akina magufuli waliokuwa na elimu za uhakika hawakufanya kitu chochote(kwa mujibu wa akili yako)... kwa hii mindset unaonekana mpumbavu kwa watu wenye akili timamu
 
Kwa Ufupi Tumepigwa, JPM hakutaka hata kumfikiria .


Watakuja kukuambia ana uzoefu, Uzoefu which ? When ? Where ?? Keshawah ongoza Taasisi gan kubwa ya kifedha nchini na akaipa matokeo chanya???.

Inawezekana kabisa, Magavana wote wa Bank Dunianiz ukiwapanga kw Elimu zao, huyu wetu ndio wa Mwisho.


Elimu kwenye suala husika, ndio nguzo sahihi ya mawazo mapya.
Hamna tabu, mbona Jenista alikuwa waziri wa afya!
 
Sio kwamba wtu sahihi hawapo, laa hasha, shida tu ni kwamba Tanzania huwezi pata nafasi ya Juu kama ww sio ccm, Lipumba was the best at his time, but they never gave him a single chance. Kisa mpinzani. Na tutazikwa kweli hata siuongo.
Lipumba na kweli ni lipumbavu.

Badala ya kupeleka huo utaalam serikalini.

Ni kukimbizana tu na uwenyekiti wa CUF na kugombea Urais.

Mpaka anazeeka ameishia kukimbiza upepo tu.
 
Back
Top Bottom