Kwa Gavana tuliyenaye, sikushangaa nilipoona habari ya shilingi ya Tanzania kufanya vibaya zaidi Duniani

Kwa Gavana tuliyenaye, sikushangaa nilipoona habari ya shilingi ya Tanzania kufanya vibaya zaidi Duniani

Hatuna gavana pale Benki Kuu ya Tanzania, huo ndiyo ukweli.

Gavana Tutuba hawezi kufafanua jambo kwa lugha ya kiSwahili wala kiingereza. Gavana awe na uwezo wa hadhara kumsikiliza akiwa katika mkutano wa bodi hapa Dar es Salaam, au bodi ya Benki ya Afrika ADB makao makuu mjini Abidjan, au katika mkutano wa mwaka wa bodi ya Fuko la Fedha Duniani IMF Washington n.k

Gavana aliyepo ofisini hawezi kuhojiwa na vyombo vya habari mambo mazito akatoa ufafanuzi

Gavana Emnanuel Tutuba huyu hata hatoshi kuwa katibu mkuu wa wizara yoyote nyeti na ngumu hapa Tanzania.

TOKA MAKTABA :
Gavana anatakiwa kuwa kama huyu aliyepita :

Bank of Tanzania Governor Benno Ndulu discusses financial inclusion in Tanzania and the Alliance for Financial Inclusion (AFI) in this video interview.


View: https://m.youtube.com/watch?v=-ji1pmmOypU


TOKA MAKTABA :

2023 AFI GPF - Plenary 4: Financial Inclusion for Shared Prosperity

Emmanuel Mpawe Tutuba, Governor, Bank of Tanzania

View: https://m.youtube.com/watch?v=0pZ-VfgL0Ic
 
Kwa Ufupi Tumepigwa, JPM hakutaka hata kumfikiria .


Watakuja kukuambia ana uzoefu, Uzoefu which ? When ? Where ?? Keshawah ongoza Taasisi gan kubwa ya kifedha nchini na akaipa matokeo chanya???.

Inawezekana kabisa, Magavana wote wa Bank Dunianiz ukiwapanga kw Elimu zao, huyu wetu ndio wa Mwisho.


Elimu kwenye suala husika, ndio nguzo sahihi ya mawazo mapya.
Sahihi kabisa.

Magufuli pamoja na kumpinga kwenye ukatili wake na roho mbaya ila kwenye maeneo niliyomkubali ni kwenye ku pick the right candidates in sensitive positions.

Gavana Luoga pamoja na uchapombe wake alikuwa the best. Nakumbuka hadi alipewa tuzo ya kuongoza vizuri uchumi na kuisaidia nchi kupita vizuri kipindi cha Covid. Tena alipewa na Taasisi za Nje sio zetu za hapa bongo.
 
acha chuki zako? ambaye anatakiwa alaumiwe ni waziri wa fedha sio gavana..kingine kuongoza ni karama ya mtu binafsio sio elimu
Unajua kazi za Benki Kuu kwenye Taifa ni nini?

Unajua kwa nini nafasi ya Gavana wa Benki Kuu ni nafasi nyeti sana kwenye nchi zote Duniani hasa kiuchumi?

Mie niwe na chuki na Tutuba ili iweje? Simjui, hanijui na siingiliani nae popote pale.

Angalia maslahi ya Taifa dogo. Acha uchawa.
 
Unajua kazi za Benki Kuu kwenye Taifa ni nini?

Unajua kwa nini nafasi ya Gavana wa Benki Kuu ni nafasi nyeti sana kwenye nchi zote Duniani hasa kiuchumi?

Mie niwe na chuki na Tutuba ili iweje? Simjui, hanijui na siingiliani nae popote pale.

Angalia maslahi ya Taifa dogo. Acha uchawa.
Hapo kwenye neno "uchawa" nadhani ulitaka kuandika aache ujingaujinga.Anachojua ni "bata tredi" tu.
 
wa Ufupi Tumepigwa, JPM hakutaka hata kumfikiria .
Punguza ujuaji na uwe na uhakika wa mambo kabla hujamshambulia mtu. Prof. Luoga ndiye alikuwa Gavana wa BoT kipindi cha Rais Magufuli na wala Magufuli hakumteua Tutuba kuwa ganava wa BoT bali ni Rais Samia Hassan.
Screenshot_20250325-121405.jpg
 
Punguza ujuaji na uwe na uhakika wa mambo kabla hujamshambulia mtu. Prof. Luoga ndiye alikuwa Gavana wa BoT kipindi cha Rais Magufuli na wala Magufuli hakumteua Tutuba kuwa ganava wa BoT bali ni Rais Samia Hassan. View attachment 3282720
Umekosea anachomaanisha Magufuli hakutaka hata kumfikiria Tutuba kwenye nafasi hizi nyeti.
 
Akiongea kiingereza tu unaweza ingia chini ya meza.

Sasa unajiuliza huyu anaweza kwenda kwenye International Platforms akafantq midahalo na wachumi wa dunia kuhamasisha sera za kifedha za Tanzania?

Kweli twafaaaa😂
Watu wa kaliba ya fedha na uchumi huwa wanajua kuongea lugha kwa ufasaha sana Sasa huyo mzee wako amepata wapi kiseyeye cha lugha? Sluggish and idiot!
 
Kwa hiyo tumuue?

Abadilishwe apelekwe Mji wa Kiserikali Nyaumata akawe katibu tawala wa mkoa (RAS)kuangalia ngazi stahiki za watumishi wa mkoa wa Simiyu

Habari Mpya​

Posted on: June 3rd, 2024 Ofisi za Mkuu wa Mkoa wa Simiyu ambazo hapo awali zilikuwa katika eneo la Somanda zimehaimishwa katika Jengo jipya la Utawala lililopo katika Mji wa Kiserikali Nyaumata hatua inayotajwa kuimarisha utoaji huduma.
 
Back
Top Bottom