Fredrick Sanga
JF-Expert Member
- Jan 27, 2011
- 3,153
- 697
wera wera !!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!! Peoples Power? Thank you for joining M4C....
Kwani ulidhani mimi ni fisadi. We, M4C wa mwanzomwanzo.
wera wera !!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!! Peoples Power? Thank you for joining M4C....
Kwa upande wa wahindi tutaanza na Sabodo halafu tunakuja kwa Prof Shivji au sio?.........................
Stain hivi CDM ndio wakwenda kuchukua nchi 2015?
Kwa upande wa wahindi tutaanza na Sabodo halafu tunakuja kwa Prof Shivji au sio?.........................
oin Date : 25th January 2012Posts : 93
Rep Power : 329
Likes Received19
Likes Given33
Kichaa hujulikana kwa hulka yake, kurusha mawe na lugha za mtusi na kutoa pofu mdomoni. Mimi nilishapimwa mara nyingi tu niko fiti sijui wewe. Kwanza unaonekana una matatizo ya kufikiri. Mimi niliuliza swali tu la kiuchokozi kupata mtazamo, lakini wewe unaniita sio mtanzania, fisadi na kichaa. Mbona unanionea hivyo? Hebu angalia Stain mwenyewe alivyojipambanua. amenieleza sababu anazojua, kama Graph ya kukubalika kwa CDM inapanda (Sijui kama wewe hata unaelewa maana yake). Hili sio jukwaa la matusi. Na matusi huwa hayanidhuru hata kidogo. Na mimi sitaki kukutusi.
Stain hivi CDM ndio wakwenda kuchukua nchi 2015?