STEIN
JF-Expert Member
- Aug 29, 2010
- 1,770
- 553
Kwanza kabisa nianze kwa kuwapongeza viongozi wa CDM na Wanachama wake kwa kuweza kupambambana na mafisadi mapapa kama tulivyoona kwenye mchakato wa uchaguzi hivi karibuni.. Ni ushindi wa Wanyonge dhidi ya mafisadi wa nchi hii... Pamoja kwamba inaaminika ndiyo uchaguzi uliotumia Pesa nyingi sana kuliko uchaguzi wowote ule uliofanyika nchi hii...
Kumbuka ilikuwa ni vita ya pamoja CCM na Lowasa dhidi ya CDM/Nassari kwa hiyo kulikuwa na sources za pesa kutoka CCM na Lowasa kama namna ya kuwaonyesha kwamba yeye bado anakubalika....
Sasa ukweli umeonekana na wana Arumeru wamekombolewa kutoka mikononi mwa Wakoloni CCM,
Sasa CDM imeonyesha kwamba inaweza kuchukua nchi hii hata CCM wakitumia mbinu zote ambazo hazijawahi tumika...
Maana CDM inakubalika Kanda ya Ziwa(Mwanza, Mara, Shinyanga, Bukoba)... Kanda ya Kaskazini(Arusha, Kilimanjaro, Manyara).... Nyanda za Juu Kusini (Mbeya, Iringa na Njombe), Kanda ya Mashariki (Dar, Morogoro).... na Mokoa ya Kigoma, Songea etc... kama kuna sehemu nyingine nimesahau basi wadau waongezee na nini kifanyike....
Ushauri wangu kwa Dr Slaa na Mbowe
1. Kwa kuwa CDM imefikia mafanikio haya, Kwa kuwa watanzania tumefikia mafanikio haya wao wakiwa viongozi wakuu wa CDM wanatakiwa kupanga timu nzuri yenye watu wenye influence na misimamo katika hizo sehemu kabla ya kufikia 2014.
2. Wafanye Reseach ya kwa nini watanzania wengi hawapigi kura na kuleta proposal ya jinsi gani ya kuwashawishi watu kukubali kupiga kura na kulinda kura....
3. Ifanyike Operation moja ya kumzungusha inchi Nzima Mh Nasari katika kuhakikisha moto huu uliowasha Arumeru hauzimiki hadi 2015..
Mwisho natoa Pongezi kwa mashujaa wetu kwa mapambo najua kuna walioumia kwa kumwagiwa Tindikali, waliopigwa mashoka na mapanga mungu awaongezee nguvu zaidi ya kupambana na hayo majambazi.
Shukrani za kipekee zieonde kwa Mbowe, Dr Slaa, Tundu Lisu, Myika, zito, Wenje, V. Nyerere, Kiwia, Machemli, Mch Petee,Mdee, Nasari, Sugu... na wengine wengi kwa kufanikisha ushindi
Katika List ya watu wa kuwazungusha Nchi Nzima naomba tumwongeze Godbles Lema ili kuvuta Hisia za watu dhidi ya Manyanyaso wanayofanyiwa viongozi wa CDM hasa wale wenye misimamo..
Ahsanteni Peoples Power
Kumbuka ilikuwa ni vita ya pamoja CCM na Lowasa dhidi ya CDM/Nassari kwa hiyo kulikuwa na sources za pesa kutoka CCM na Lowasa kama namna ya kuwaonyesha kwamba yeye bado anakubalika....
Sasa ukweli umeonekana na wana Arumeru wamekombolewa kutoka mikononi mwa Wakoloni CCM,
Sasa CDM imeonyesha kwamba inaweza kuchukua nchi hii hata CCM wakitumia mbinu zote ambazo hazijawahi tumika...
Maana CDM inakubalika Kanda ya Ziwa(Mwanza, Mara, Shinyanga, Bukoba)... Kanda ya Kaskazini(Arusha, Kilimanjaro, Manyara).... Nyanda za Juu Kusini (Mbeya, Iringa na Njombe), Kanda ya Mashariki (Dar, Morogoro).... na Mokoa ya Kigoma, Songea etc... kama kuna sehemu nyingine nimesahau basi wadau waongezee na nini kifanyike....
Ushauri wangu kwa Dr Slaa na Mbowe
1. Kwa kuwa CDM imefikia mafanikio haya, Kwa kuwa watanzania tumefikia mafanikio haya wao wakiwa viongozi wakuu wa CDM wanatakiwa kupanga timu nzuri yenye watu wenye influence na misimamo katika hizo sehemu kabla ya kufikia 2014.
2. Wafanye Reseach ya kwa nini watanzania wengi hawapigi kura na kuleta proposal ya jinsi gani ya kuwashawishi watu kukubali kupiga kura na kulinda kura....
3. Ifanyike Operation moja ya kumzungusha inchi Nzima Mh Nasari katika kuhakikisha moto huu uliowasha Arumeru hauzimiki hadi 2015..
Mwisho natoa Pongezi kwa mashujaa wetu kwa mapambo najua kuna walioumia kwa kumwagiwa Tindikali, waliopigwa mashoka na mapanga mungu awaongezee nguvu zaidi ya kupambana na hayo majambazi.
Shukrani za kipekee zieonde kwa Mbowe, Dr Slaa, Tundu Lisu, Myika, zito, Wenje, V. Nyerere, Kiwia, Machemli, Mch Petee,Mdee, Nasari, Sugu... na wengine wengi kwa kufanikisha ushindi
Katika List ya watu wa kuwazungusha Nchi Nzima naomba tumwongeze Godbles Lema ili kuvuta Hisia za watu dhidi ya Manyanyaso wanayofanyiwa viongozi wa CDM hasa wale wenye misimamo..
Ahsanteni Peoples Power